Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Waliimba hivyo kwa Mbowe, Dr. Slaa, na kwa lowasa. Kuimba mtaimbiwa Sana, ila hapo hao waimbao ndio watampa kura nyingi Magufuli. Tanzania Hoyee.

Labda...

Lakini hii ni ya mwaka huu 2020 na ni Tundu Lissu mtu jasiri mwenye ushawishi Mkubwa na anayejua kuhamasisha na kuamusha hisia za mtu yeyote...

This is UNIQUE, this is is very EXCEPTIONAL. Haifanani kabisa kabisa kabisa na hao...!!
 
QUOTE="FUSO, post: 36720788, member: 31976"]
Ni dalili mbaya sana hizi kwa CCM lah.
[/QUOTE]
Vijana wanataka mabadiliko
 
Kosa kubwa la ccm Ni kuwekeza kwenye matumizi ya nguvu badala ya hoja. Anayekubalika kwa wananchi ndie anaemiliki dola na sio anaemiliki dola. Kumiliki dola si hakikisho la kumiliki dola Ingekuwa hivyo Gadaffi, Saddam, bashiru wangekuwa madarakani hata Sasa.
 
Hakuna mkoa Magufuli ana uhakika wa kupata kura nyingi kumshinda Lissu, tunazidi kuona hata ile mikoa ambayo ilionekana kuwa ngome ya CCM lakini wananchi wake sasa wana muamko wa hali ya juu wa mabadiliko.

Hili Lissu ameshalitambua ndio maana anawasisitiza wakapige kura na kuzilinda, ana uhakika kitakachowaokoa CCM ni wizi wa kura tu, nothing else, na huu ni uthibitisho mwingine kwamba hata wale wanaojitokeza kwenye mikutano ya CCM wengi wao ni wapinzani, ukiondoa wale wanaovaa nguo za kijani.View attachment 1572910
Kaliba ya Sheria inavyozinyoosha Siasa za CCM Tanzania
 
Hizi habari anapozisikia mgombea wa chama fulani huwa zinamuumiza kichwa sana.
Alipotarajia kuwa kampeni/uchaguzi utakuwa rahisi mambo yanabadilika kila uchao.
 
Huu uzi kuna bavicha kama 10 hivi wamejitahidi kutiana moyo!

Ni upumbavu kufikiri Lisu atamshinda Magu

Ni upumbavu zaidi sana kufikiri kuwa Magu atashinda...!!

Tunajua na wewe unajua kuwa hata 2015 hakushinda ndani ya BALLOT BOX...

Alishinda kwa GOLI LA MKONO. Magufuli alipata kura chini ya 3M dhidi ya kimbunga cha kura za Lowassa zaidi ya 12M...!!!

Hopefully, anategemea mbinu na njia ileile ya ushindi. Ni ujinga kutegemea ushindi wa KUIBA na unajivuna nao...

Mwaka huu mifumo yenu ya WIZI WA KURA iko HACKED, imedhibitiwa with UNKNOWN FORCES...

Ndiyo maana ya kauli ya "HATUTAKUBALI KUIBIWA" kwa sababu we are sure kwenye SANDUKU LA KURA tutawapiga sawasawa bila shaka yoyote...!!

"OLE" ni kubadilisha matokeo ya LISSU apewe Magufuli na ya Magufuli apewe LISSU...!
 
View attachment 1556347
Jiji la Dar es Salaam ambayo ni ngome Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo linatarajiwa kusimama kwa siku tatu kupisha uzinduzi wa kihistoria wa mgombea Urais wa Chama hicho...

Namuona T.L anaweza akawachachafya CCM 2025 Lakini sio kipindi hichi cha JPM, wao ngoj tuna macho na masikio aliyoyafanya JPM kipindi cha mpaka mitano vinaonekana itakuwepo ngumu kwa T.L kushinda uraisi Katika awamu yake.
 
Waliimba hivyo kwa Mbowe, Dr. Slaa, na kwa lowasa. Kuimba mtaimbiwa Sana, ila hapo hao waimbao ndio watampa kura nyingi Magufuli. Tanzania Hoyee.
Thubutu! Nyakati na majira vimebadilika sana. Kaa chonjo, time mbaya hizi! Kama huamini, kalaga baho!
 
Tufanyeni kampeni za kistaarabu.
Tangu lini mkawa wastarabu
images(5).jpg
 
Kigogo ndio kahack mifumo ya nec? Au wale mabeberu wa Lisu kina Amsterdam?
Hivi hata mnaelewa kinachoendelea hapa nchini kweli? Yani hapo chadema hamna mtu hata mmoja mwenye akili wa kuwafanyia analysis ya kuona kukubalika kwenu?...
Kilichopo ni kuwa Lissu atashindwa katika sanduku la kura lakini CHADEMA hawatakubali na watawaaminisha mashabiki wao kuwa wameshinda ila wameibiwa kura.

Nawapa changamoto CHADEMA waweke mawakala katika vituo vyote elfu themanini ingawa najua hawawezi kuwanunulia hata chakula licha ya kutakiwa kukaa vituoni pengine hadi usiku. Kutumia hata elfu ishirini tu kwa kila wakala watahitaji shilingi bilioni 1.6 ambazo sidhani kama walijiandaa nazo licha ya kuwakata pesa wabunge wao kwa miaka mitano.
 
Mtajazana Upepo sana humu
Lakini Hakuna Lolote
Hao ni wahuni tu kama wahuni wengine
Alipigiwa Deki Lowassa Lisu Ndio nani!!
Msibadilishe Id zenu Kumi kumu
Mnatakiwa kujua saizi kua hakuna cha tunamuachia Mungu awamu, msikiri mtafanya uhuni mlioufanya 2015
 
Huu uzi kuna bavicha kama 10 hivi wamejitahidi kutiana moyo!

Ni upumbavu kufikiri Lisu atamshinda Magu
Misukule ya lumumba km ww mpo wa nne tu ndo mnaleta mipasho ya kanga......

Hakuna mkulima mfanyabiashara mfanyakazi mwanagunzi au mstaafu wa kumpa kura magufuli na ccm......WAMPE KURA KWA KUUA UCHUMI WAO?

Ni upumbavu kuamini kuna mtz atanpigia kura magufuli.....
 
Mku ameegemea kwa raia ndo maana mwanzo kabisa aliiambia NEC uchaguzi uwe huru na haki pasipo haki hatakubali matokeo kutokukubali matokeo ni mbaya kwetu ccm kumbuka huyu mtu anawafuasi kila pande za nchi na duniani pia. Chochote atakachofanyiwa huyu Mtu sio afya kwa Nchi na viongozi wetu pia. Ukijaribu kufuatilia maongezi ya mwanasheria wake kwa wale walioandikiwa barua na huyu mwanasheria ndo utajua nini kinachoendelea.Huyu backup yake Ni kubwa sana na Ilani ya chama chake inambeba Mku
Ni sawa, ila pia kila mgombea ana wafuasi kila anakoenda. Ushindi wa mgombea utatokana na wafuasi watakaompigia kura za ndio na sio wafuasi wanaosema tutakuchagua. Sasa je hao wanaomfuata sasa wote watapiga kura, na wakipiga kura wote watamchagua?

Walichokifanya wajumbe kwa kwenye kura za maoni ndicho hichohicho watakifanya kwenye sanduku la kura. Kuambiwa tuko pamoja haimaanishi umeshinda! Watanzania tunajijua wenyewe ukimuuliza Lowasa na Dr Slaa watakueleza vizuri
 
Kilichopo ni kuwa Lissu atashindwa katika sanduku la kura lakini CHADEMA hawatakubali na watawaaminisha mashabiki wao kuwa wameshinda ila wameibiwa kura...
Mawakala 80,000 x Shs. 20,000/ = 1,600,000,000/= (Milioni 1.6 tu ) ina maana kila kituo wafuasi wa chama watashindwa 20,000/= ? Sasa kuna haja gani kugombea katika eneo hilo? si bora waache tuu kama hakuna wanachama wa kutosha kmuwezesha wakala kupata hela ya kula siku moja au mbili?

Huko ndio kujitolea ili kukomboa nchi na uonevu wa CCM ni lazima tjikaze wote na kujitowa kwa ajili ya wengine.
 
Misukule ya lumumba km ww mpo wa nne tu ndo mnaleta mipasho ya kanga......

Hakuna mkulima mfanyabiashara mfanyakazi mwanagunzi au mstaafu wa kumpa kura magufuli na ccm......WAMPE KURA KWA KUUA UCHUMI WAO?

Ni upumbavu kuamini kuna mtz atanpigia kura magufuli.....
Hao wanne inawezekana ni mmoja tu, anajitekenya na kujichekea na id zake!
 
Back
Top Bottom