Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Ayayayaya huuuu moto wa Lissu ,nadhan mataga unawapa kihoro sanaaa.

Jamaaa anapiga anawapiga kila anapowageuza anapigaaa tu hahahaha

Lissu Lissu Lissu

This time CCM ya Jiwe watajiju...!!
Mwaka 2015 Jiwe alikuwa na a very good Campaign Manager Mzee Kinana akisaidiana na Nnape.
Lakini Jiwe kawakorofisha hawa jamaa.
 
Mahala pengi Tundu Lissu amefafanua vzr matatizo ya wananchi Na jinsi ya kukabiliana nayo wakishika dola.

Bali pia kuna maeneo amrshindwa kugusia changamoto za wananchi. Mfano tdm ni eneo ambalo wananchi wanashida kubwa sana ya maji.

Hili alitakiwa alizungumzie na pia kuna bomoa bomoa ilipita zoez ambalo lilpita Bila fidia na watu wengi wamekua wanaishi kwa kuhangaika hasa wazee.

Ni haya tu mfano mdogo. Wagombea pateni mda mdogo wa kumpa shida za wananchi wenu. Kabla hajasmama jukwaani muhim hili mda mnao mtapata uungwaji mkubwa toka kw wananchi!!
 
Kwa sie tunaojua kuangalia mtu kwa jicho la kipekee, tunaona Lissu amechoka kwelikweli. Lissu wa kipindi cha kapeni za kikanda sio huyu wa Sumbawanga. Nawaomba sana Muwe mnampatia mda wa mapumziko asije akasingizia kalogwa. Lakini pia Lissu hajapona vizuri hivyo anafaa kupata mda mzuri wa kupumzika.

Najua anapitia changamoto nyingi ndio maana hata kunyoa anasahau mda mwingine. Na changamoto hizi zote anapambana peke yake kwa asilimia nyingi.

Changamoto anazopitia ni kama ifuatavyo.

1. Pesa ya Kampeni haieleweki vizuri. Hapa anapambana kuwasiliana na watu mbalimbali usiku na mchana. Watu wake wa karibu wadai halali vizuri kwa sababu hataki kusimamisha kampeni.

2. Matarajio aliyokuwa anayategemea sasa hayaoni. Lissu alijua CCM itameguka vipande vipande, Lissu alijua atapata kuungwa mkono na wakongwe wa CCM, Lissu alijua watu wataelewa kirahisi sera zake. Cha kushangaza mambo yako kinyume.

3. Lissu pamoja na wana CHADEMA walijua ACT kingewaunga mkono .hili nalo linampa uchovu.

4. Wabunge wa CHADEMA hawana hela za kampeni. Mikutano mingi inafanyika pale tu yeye anapofika.

Hadi sasa Lissu ameshaanza kuelewa somo, badala ya kuusaka Urais sasa ameanza kusaka kura nyigi za urais ili apate wabunge wengi wa viti maalum pamoja na ruzuku.

CHADEMA angalieni sana mgombea apate mda wa kulala vizuri, kula vizuri .
 
Kwa sie tunaojua kuangalia mtu kwa jicho la kipekee, tunaona Lissu aechoka kwelikweli. Lissu wa kipindi cha kapeni za kikanda zio huyu wa Sumbawanga. Nawaomba sana Muwe mnampatia mda wa mapumziko asije akasingizia kalogwa. Lakini pia Lissu hajapona vizuri hivyo anafaa kupata mda mzuri wa kupumzika...
Magu ndo apumzike, ccm hali mbaya baada ya watanzania kumwelewa Lisu na chadema huku ccm na magu hawaamini kinachoendela kila kona ya Tanzania hasa huko kusini kwa sasa kumewaka moto si mchezo
 
Kigogo ndio kahack mifumo ya nec? Au wale mabeberu wa Lisu kina Amsterdam?
Hivi hata mnaelewa kinachoendelea hapa nchini kweli? Yani hapo chadema hamna mtu hata mmoja mwenye akili wa kuwafanyia analysis ya kuona kukubalika kwenu?..
CCM mtajua hamjui mwaka huu subirini
 
Kwa sie tunaojua kuangalia mtu kwa jicho la kipekee, tunaona Lissu amechoka kwelikweli. Lissu wa kipindi cha kapeni za kikanda sio huyu wa Sumbawanga. Nawaomba sana Muwe mnampatia mda wa mapumziko asije akasingizia kalogwa. Lakini pia Lissu hajapona vizuri hivyo anafaa kupata mda mzuri wa kupumzika.

Najua anapitia changamoto nyingi ndio maana hata kunyoa anasahau mda mwingine. Na changamoto hizi zote anapambana peke yake kwa asilimia nyingi.

Changamoto anazopitia ni kama ifuatavyo.

1. Pesa ya Kampeni haieleweki vizuri. Hapa anapambana kuwasiliana na watu mbalimbali usiku na mchana. Watu wake wa karibu wadai halali vizuri kwa sababu hataki kusimamisha kampeni.
2. Matarajio aliyokuwa anayategemea sasa hayaoni. Lissu alijua CCM itameguka vipande vipande, Lissu alijua atapata kuungwa mkono na wakongwe wa CCM, Lissu alijua watu wataelewa kirahisi sera zake. Cha kushangaza mambo yako kinyume.
3. Lissu pamoja na wana CHADEMA walijua ACT kingewaunga mkono .hili nalo linampa uchovu.
4. Wabunge wa CHADEMA hawana hela za kampeni. Mikutano mingi inafanyika pale tu yeye anapofika.

Hadi sasa Lissu ameshaanza kuelewa somo, badala ya kuusaka Urais sasa ameanza kusaka kura nyigi za urais ili apate wabunge wengi wa viti maalum pamoja na ruzuku.

CHADEMA angalieni sana mgombea apate mda wa kulala vizuri, kula vizuri .
Lissu ni mpango wa Mungu. Hatochoka na hatoshindwa kamwe. Kumbukeni tu yule ana nguvu ya Mungu ndani yake
 
17 September 2020
Mbulu, Tanzania

SALUM MWALIMU WA CHADEMA ALIVYOCHEZA NGOMA MBULU KATIKA MKUTANO WA KAMPENI 2020


Mbulu mkoani ManyaraTanzania. Mgombea mwenza wa urais wa Tanzania kupitia Chadema, Salum Mwalimu alipokewa kwa shangwe kubwa iliyotayarishwa vyema kisha alipewa heshima ya kipekee ya kitamaduni na wanaMbulu na baadaye akahutubia mkutano wa kampeni 2020.
 
Huu ni Mkutano wa Kampeni wa Mgombea Ubunge wa CHADEMA jimbo la Bukoba Mjini aitwaye Kalumuna, ambapo pia wagombea udiwani wametambulishwa .

Subpost 4 - Bukoba kam Bukoba hatuchaguliwi Mbunge chaguo la wana Bukoba ni Chie ( 640 X 640 ).jpg
Subpost 3 - Bukoba kam Bukoba hatuchaguliwi Mbunge chaguo la wana Bukoba ni Chie ( 640 X 640 ).jpg
Subpost 2 - Bukoba kam Bukoba hatuchaguliwi Mbunge chaguo la wana Bukoba ni Chie ( 640 X 640 ).jpg
Subpost 1 - Bukoba kam Bukoba hatuchaguliwi Mbunge chaguo la wana Bukoba ni Chie ( 640 X 640 ).jpg


Nakala imfikie Lwakatare popote alipo
 
Bukoba as Bukoba , The time to hear The manifesto which prepared by kijana wa Mnato na Mvuto A.K.A Chief Kalumuna and his Prophet Alive Tundulissu is now.







Chief kalumuna ft Tundulissu ...this is more than thunderstone.

I stand with Chief kalumuna and prophet Alive. Lissu.🙏🙏🙏






"Tutamtunza na kumlea kama wengine baada yakulitumikia taifa kwa miaka mitano"
 
Back
Top Bottom