Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Lissi Ni pasua kichwa kwa kweli,ukisikia watoto wa Mjini ndo Hawa.
Lissu anafanya kampeni kwa njia nyingi mno,na huwezi kujua utamkabili kwa njia ipi.
Njia aliyotumia hivi karibuni Ni moja ya njia watumiazo mawakili wakiwa mahakamani.
Kwanza anakupa mtego wa swali,hoja au maneno,ukijaa anakuweka Kati.
Sasa suala la vitambuliaho vya wamachinga kamtega Jiwe,jiwe kaingia mtegoni,kwa kujibu kuwa,

"vitambuliaho sio lazima."

Tayari Mzee Baba akawa kaingia mtegoni.

Lissu kampa kubwa na kumuingiza Kati,Mzee Baba.
Akamwambia,

"Kama vitambuliaho sio lazima? Futa sheria iliyoviweka"!


Jiwe chali.
Chato hiyooooo, Oct 30
Kama vitambuliaho sio lazima? Futa sheria iliyoviweka"!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ikifika october 28 au november 3 utapata majibu ya nani ni nani
Ndio maana lissu atashindwa vibaya kwa sababu anafikiri uanasheria ndio siasa. Siasa inahitaji maadili na utu sio ubabaishaji wa kumpa mhalifu haki. Anatoa hoja kwa mtindo wa ubabaishati kwa hoja dhaifu ili kumuokoa muuaji aepe kitanzi. Ndio kazi ya mawakili mtindo wa lissu.
 
Kata kitambulisho 20000/,=ujichingalize mwaka mzima bure,au uhangaishane na buku dala za mgamo wa jiji deile! Ni uamuzi wako siyo lazima .akili mkichwa.
 
Lissi Ni pasua kichwa kwa kweli,ukisikia watoto wa Mjini ndo Hawa.
Lissu anafanya kampeni kwa njia nyingi mno,na huwezi kujua utamkabili kwa njia ipi.
Njia aliyotumia hivi karibuni Ni moja ya njia watumiazo mawakili wakiwa mahakamani.
Kwanza anakupa mtego wa swali,hoja au maneno,ukijaa anakuweka Kati.
Sasa suala la vitambuliaho vya wamachinga kamtega Jiwe,jiwe kaingia mtegoni,kwa kujibu kuwa,

"vitambuliaho sio lazima."

Tayari Mzee Baba akawa kaingia mtegoni.

Lissu kampa kubwa na kumuingiza Kati,Mzee Baba.
Akamwambia,

"Kama vitambuliaho sio lazima? Futa sheria iliyoviweka"!


Jiwe chali.
Chato hiyooooo, Oct 30

Yaani Mdahalo Ungenoga Sana... Bila shaka tungeona "bwana wa majeshi yenye" akishikiliwa na majeshi yake
 
Mwaka huu na hilo boya lenu hamtoki... Na hata mkitoka mtagawana mbao, fito na nguzo...
Hazigawiwi mbao wala fito bali atapigwa gape kubwa sana la kura amini magufuli atashinda kwa kishindo sana na wabunge wengi wa upinzani watapoteza majimbo naomba tukutane hapa baada ya uchaguzi
 
Lissi Ni pasua kichwa kwa kweli,ukisikia watoto wa Mjini ndo Hawa.
Lissu anafanya kampeni kwa njia nyingi mno,na huwezi kujua utamkabili kwa njia ipi.
Njia aliyotumia hivi karibuni Ni moja ya njia watumiazo mawakili wakiwa mahakamani.
Kwanza anakupa mtego wa swali,hoja au maneno,ukijaa anakuweka Kati.
Sasa suala la vitambuliaho vya wamachinga kamtega Jiwe,jiwe kaingia mtegoni,kwa kujibu kuwa,

"vitambuliaho sio lazima."

Tayari Mzee Baba akawa kaingia mtegoni.

Lissu kampa kubwa na kumuingiza Kati,Mzee Baba.
Akamwambia,

"Kama vitambuliaho sio lazima? Futa sheria iliyoviweka"!


Jiwe chali.
Chato hiyooooo, Oct 30
Lissu kamzidi mtu akili
 
Ndio maana lissu atashindwa vibaya kwa sababu anafikiri uanasheria ndio siasa. Siasa inahitaji maadili na utu sio ubabaishaji wa kumpa mhalifu haki. Anatoa hoja kwa mtindo wa ubabaishati kwa hoja dhaifu ili kumuokoa muuaji aepe kitanzi. Ndio kazi ya mawakili mtindo wa lissu.

Kama hoja za magufuli... Yaani likianza kuongea haijulikani linaelekea wapi... Yaani anakikanyaga na kujipaka paka Kiswahili utafikiri hana PhD...
 
Lissi Ni pasua kichwa kwa kweli,ukisikia watoto wa Mjini ndo Hawa.
Lissu anafanya kampeni kwa njia nyingi mno,na huwezi kujua utamkabili kwa njia ipi.
Njia aliyotumia hivi karibuni Ni moja ya njia watumiazo mawakili wakiwa mahakamani.
Kwanza anakupa mtego wa swali,hoja au maneno,ukijaa anakuweka Kati.
Sasa suala la vitambuliaho vya wamachinga kamtega Jiwe,jiwe kaingia mtegoni,kwa kujibu kuwa,

"vitambuliaho sio lazima."

Tayari Mzee Baba akawa kaingia mtegoni.

Lissu kampa kubwa na kumuingiza Kati,Mzee Baba.
Akamwambia,

"Kama vitambuliaho sio lazima? Futa sheria iliyoviweka"!


Jiwe chali.
Chato hiyooooo, Oct 30

vipi ile sera yake ya corona, ameshatuliza mshipa ama bado anaendelea kuwaambia watu kuna corona
 
Ndio maana lissu atashindwa vibaya kwa sababu anafikiri uanasheria ndio siasa. Siasa inahitaji maadili na utu sio ubabaishaji wa kumpa mhalifu haki. Anatoa hoja kwa mtindo wa ubabaishati kwa hoja dhaifu ili kumuokoa muuaji aepe kitanzi. Ndio kazi ya mawakili mtindo wa lissu.
Unajua kiwa Marais wengi mahili wamesoma sheria?
Putin,Mandela Obama Jf Kennedy n.k
 
Ndio maana lissu atashindwa vibaya kwa sababu anafikiri uanasheria ndio siasa. Siasa inahitaji maadili na utu sio ubabaishaji wa kumpa mhalifu haki. Anatoa hoja kwa mtindo wa ubabaishati kwa hoja dhaifu ili kumuokoa muuaji aepe kitanzi. Ndio kazi ya mawakili mtindo wa lissu.
Hakuna mwenye akili timamu atakae mpigia kura lissu wengi wanaopinga ni kwaajili ya kutaka umaarufu maana hawajui nia yake ila jamaa anaokana wazi ana nia mbaya
 
Hazigawiwi mbao wala fito bali atapigwa gape kubwa sana la kura amini magufuli atashinda kwa kishindo sana na wabunge wengi wa upinzani watapoteza majimbo naomba tukutane hapa baada ya uchaguzi
Kwa Jecha style sawa.
 
Back
Top Bottom