share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,064
- 10,468
Lissi Ni pasua kichwa kwa kweli,ukisikia watoto wa Mjini ndo Hawa.
Lissu anafanya kampeni kwa njia nyingi mno,na huwezi kujua utamkabili kwa njia ipi.
Njia aliyotumia hivi karibuni Ni moja ya njia watumiazo mawakili wakiwa mahakamani.
Kwanza anakupa mtego wa swali,hoja au maneno,ukijaa anakuweka Kati.
Sasa suala la vitambuliaho vya wamachinga kamtega Jiwe,jiwe kaingia mtegoni,kwa kujibu kuwa,
"vitambuliaho sio lazima."
Tayari Mzee Baba akawa kaingia mtegoni.
Lissu kampa kubwa na kumuingiza Kati,Mzee Baba.
Akamwambia,
"Kama vitambuliaho sio lazima? Futa sheria iliyoviweka"!
Jiwe chali.
Chato hiyooooo, Oct 30
Jiwe uwezo ni mdogo mno. Mtoto si riziki. Anategwa na kutegeka kirahisi sana. Lissu ni another level.