paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Hoja za Lissu ni uhalisia mtupu hazijibikiBaada ya kukaa kwenye ajenda za ndege na uwanja wa ndege chato kwa muda mrefu Sasa karudi kwenye swala hatari la sukari.
Anasema "Ujapandisha mishahara kwa miaka 5 lakini sukari uliikuta 1800 sasahivi inauzwa 3000 halafu unajiita Rais wa wanyonge.
Rais gani wa wanyonge design hii?"
Anasema kahawa kilo moja ilikuwa inauzwa 2500 mwaka 2015 Wakati anaingia madarakani halafu Leo inauzwa 1100 yaani imeporomoka! Halafu unajiita Rais wa wanyonge wanyonge wa wapi hawa?
Sukari uliipandisha kwa ulimi wako na kahawa uliishusha kwa ulimi wako Sasa utakuwa Rais wa wanyonge wapi?
My take: Rais atafutiwe mtu wa kumjibia hoja za Lissu maana sioni uwezo wake wa kujibu hizi hoja na graph ya Lissu kila siku inapanda hata kwa mtu asiyependa kusikia kwa vyovyote ataguswa
Uwe CCM uwe upinzani hoja za Tundu Lissu zitakugusa tu.
Kifupi jamaa haogopi mahakama..haogopi kesi..haogopi Risasi na haogopi kifo maana alishaonja mauti ....Hapana TL ni shida ,watanzania wote m 50+ kila mmoja alikuwa anamuogopa Meko kuliko chochote lakini TL haogopi chochote na hii nadhani ni baada ya kukoswa risasi 16
Kamfanya punching bag lakeBaada ya kumgeuzageuza sasa AMELEGEA KABISA
Kama nyati anavyombinua Simba poriniMeko anabinuliwa binuliwa kama chapati!
Kwa hiyo?Mwanaume huyo sio kama wewe
Mwanaume kuchoka ni wajibuKwa hiyo?
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Akifikisha kura 1.4M nipigwe ban 6months.
MAGUFULI4LIFE.
Kuna jipya huku, hataki uwanja ujengwe Katoro.Katoro leo daah!!...Lissu kiboko
Mwendo mpelampela.....Baada ya kukaa kwenye ajenda za ndege na uwanja wa ndege chato kwa muda mrefu Sasa karudi kwenye swala hatari la sukari.
Anasema "Ujapandisha mishahara kwa miaka 5 lakini sukari uliikuta 1800 sasahivi inauzwa 3000 halafu unajiita Rais wa wanyonge.
Rais gani wa wanyonge design hii?"
Anasema kahawa kilo moja ilikuwa inauzwa 2500 mwaka 2015 Wakati anaingia madarakani halafu Leo inauzwa 1100 yaani imeporomoka! Halafu unajiita Rais wa wanyonge wanyonge wa wapi hawa?
Sukari uliipandisha kwa ulimi wako na kahawa uliishusha kwa ulimi wako Sasa utakuwa Rais wa wanyonge wapi?
My take: Rais atafutiwe mtu wa kumjibia hoja za Lissu maana sioni uwezo wake wa kujibu hizi hoja na graph ya Lissu kila siku inapanda hata kwa mtu asiyependa kusikia kwa vyovyote ataguswa
Uwe CCM uwe upinzani hoja za Tundu Lissu zitakugusa tu.
Watu wametoka Chato hadi Katoro kwa miguu na baiskeli haijawahi kutokeaKuna jipya huku, hataki uwanja ujengwe Katoro.
Hapa sio kwa watabiri, ni jamvi ka hoja. Leta hoja. Au ndio kwa mpango wa kuiba?Akifikisha kura 1.4M nipigwe ban 6months.
MAGUFULI4LIFE.
@MSAGA SUMU imesagwa njoo uinyweBaada ya kukaa kwenye ajenda za ndege na uwanja wa ndege chato kwa muda mrefu Sasa karudi kwenye swala hatari la sukari.
Anasema "Ujapandisha mishahara kwa miaka 5 lakini sukari uliikuta 1800 sasahivi inauzwa 3000 halafu unajiita Rais wa wanyonge.
Rais gani wa wanyonge design hii?"
Anasema kahawa kilo moja ilikuwa inauzwa 2500 mwaka 2015 Wakati anaingia madarakani halafu Leo inauzwa 1100 yaani imeporomoka! Halafu unajiita Rais wa wanyonge wanyonge wa wapi hawa?
Sukari uliipandisha kwa ulimi wako na kahawa uliishusha kwa ulimi wako Sasa utakuwa Rais wa wanyonge wapi?
My take: Rais atafutiwe mtu wa kumjibia hoja za Lissu maana sioni uwezo wake wa kujibu hizi hoja na graph ya Lissu kila siku inapanda hata kwa mtu asiyependa kusikia kwa vyovyote ataguswa
Uwe CCM uwe upinzani hoja za Tundu Lissu zitakugusa tu.