imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Halafu leo ataambiwa anapendwa sana na hili jamaa nafiki ndo maana jana Lissu kauliza swaliMkuu hiyo kitu ilitokea? Kwahivyo hana marinda huyo Mh.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu leo ataambiwa anapendwa sana na hili jamaa nafiki ndo maana jana Lissu kauliza swaliMkuu hiyo kitu ilitokea? Kwahivyo hana marinda huyo Mh.?
Afadhali bwashee..... Nilidhani Lisu kaishiwa pumzi so leo anapumzika!Huyo hapo bwashee, anaelekea Serengeti muda huu
View attachment 1556262
MATAGA lazima watutolee vifaranga awamu hii Siyo kutaga tuu
Uzi ufungwe 😎Huyo hapo bwashee, anaelekea Serengeti muda huu
View attachment 1556262
MATAGA lazima watutolee vifaranga awamu hii Siyo kutaga tuu
Kwanini bwashee?Uzi ufungwe 😎
Subiri utamsikia tu mida kidogo baadaye leo. Tatizo tunazuiwa sana njiani na wananchiAfadhali bwashee..... Nilidhani Lisu kaishiwa pumzi so leo anapumzika!
Hebu fafanua mkuuKituo kinachofuata ni shinyanga. Wagombea wawili wataonana leo hapo TINDE mmoja akitokea Nzega na mwingine akitokea shinyanga. Hakika kutakuwa na mdahalo kubwa wa hatma ya Tanzaia miaka mitano apewe nani?
Sent from my TECNO PP7E-DLA1 using JamiiForums mobile app
tunasubiri majibu ya home work aliyopewa mzee pombe ili tumsahishe.Bwashee leo mnahesabu matoleo?!
Bwashee hayo maswali angemuuliza Spika Ndugai!tunasubiri majibu ya home work aliyopewa mzee pombe ili tumsahishe.
KUSIMAMISHWA INAWEZEKANA SANA TENA SANA MAANA KUNA DRAMAS NYINGI! na kibaya hakikosi wapenzi vile vile!... hata Idd Amin alikuwa na wapenzi wengi pamoja kuwaua kwa malakiLeo sioni kabisa harakati za makamanda kuinadi ilani ya Chadema wala kutupa ratiba ya yanayojiri.
Dr Magufuli anaelekea Nzega muda huu akitokea Singida ambako kila kijiji wananchi wanamsimamisha awasalimie.
Maendeleo hayana vyama!
Leo ni siku ya kulaumiana ,jana wamejichanganya mwanza ,Lissu aliharibu sana tu,maelezo yake mengi yalijaa uongo na uzushi yasio na tafiti hata chembeLeo sioni kabisa harakati za makamanda kuinadi ilani ya Chadema wala kutupa ratiba ya yanayojiri.
Dr Magufuli anaelekea Nzega muda huu akitokea Singida ambako kila kijiji wananchi wanamsimamisha awasalimie.
Maendeleo hayana vyama!
Ndugai kwenye barua yake amejibu kuwa Mzee Pombe amegoma kuidhinisha matibabu ya Lissu,Bwashee hayo maswali angemuuliza Spika Ndugai!
Matibabu ya mbunge yanaidhinishwa na Rais tangu lini bwashee?!Ndugai kwenye barua yake amejibu kuwa Mzee Pombe amegoma kuidhinisha matibabu ya Lissu,
Fanyeni hiyo home work please nahitaji kurekodi course work zenu.
Hapo Lumumba ndiyo zimejaa zero namna hii?Matibabu ya mbunge yanaidhinishwa na Rais tangu lini bwashee?!
Usilikimbie tatizo bwashee level ya Tundu Lisu ni Spika Ndugai!Hapo Lumumba ndiyo zimejaa zero namna hii?
Leo sioni kabisa harakati za makamanda kuinadi ilani ya CHADEMA wala kutupa ratiba ya yanayojiri.
Dkt. Magufuli anaelekea Nzega muda huu akitokea Singida ambako kila kijiji wananchi wanamsimamisha awasalimie.
Maendeleo hayana vyama!
Ndugai ana akili fupi kama wewe.Usilikimbie tatizo bwashee level ya Tundu Lisu ni Spika Ndugai!
Atakuwa anamtafutia kesiMwambie Mzee Pombe ajibu kwanza maswali ya home work aliyopewa jana.
Polisi hapa wametenda hakiView attachment 1556293
SERENGETI HIYO LEO HADI ADUI MUOVU AKOME
Muulize shein kwanini aliizinisha matibabu ya maalim seif wakati alinyimwa mkono au shein pale Zanzibar ni diwani?Matibabu ya mbunge yanaidhinishwa na Rais tangu lini bwashee?!