Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka tufanyaje sasaWatu wa DAR ES SALAAM huwa hawajifichi wakiamua kukudharau wala hawakufichi ona huu msafara wa Lisu siku unaenda kwenye uzinduzi wa kampeni MBAGALA ulivyodharaulika na watu wa Dar es salaa hadi unaingia uwanjani njia nzima watu walionyesha kutokujali wala kuwa na habari naye ndio maana akakimbia mji kukimbilia mikoani kwa aibu...
Yule mzee w kongwa akiona jamaa anavyobugi dance anaumia sanaaNimeipenda sanaa! Wawe wanapiga mipini kama hii! Wasimsahau Joseph Hill wa Culture. Hii ndo miziki ya vijana wanaojitambuwa. Wabana puwa na wakata mauno kamwe hawana dili.
Sio siku moja ni 28 oct 2020✌✌✌✌😎💪Aisee huyu mtu atakuja kushika madaraka ya nchi siku moja. Ana persuassion power kubwa sana, ana elimu, ana akili.
Kwa Sasa hivi aendelee kuwa mburudishaji tu na kucheza nyimbo nyingine nyingi kama hizo.Aisee huyu mtu atakuja kushika madaraka ya nchi siku moja. Ana persuassion power kubwa sana, ana elimu, ana akili.