Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ilikwa dramatized and not real!Ndugu zangu,
JPM alipewa jogoo mmoja huko mikoa ya kusini ilikuwa nongwa leo Tundu kapewa majogoo wawili wale wale wanasifia.
Siku zinaenda kasi sana hapa ni Mkoa wa Songwe.View attachment 1572268
Bila ujasiri wa Lissu hakuna mtu mwingine aliyewahi kupambana live na jpm. Ilikuwa uchague moja tu kufa au kuishi basi. Kawaulize akina kinana et alWasalaam, natumai kila mtu anayeingia mtandaoni anajionea mada Kali zinazomzungumzia zaidi T. Lisu. Kusema ukweli Lisu ameshangaza watu wengi kwa ujasili alio nao wa kumsema waziwazi Magufuri. Kutokana na Lisu kulitumia vyema jukwaa la siasa, ccm wamejikuta wakichanganyikiwa, Magufuri bado anaamini Mpaka Sasa yeye Ni Raisi kwa kutumia kivuli Cha Katiba mbovu tuliyonayo, ndiyo maana hataki kuvunja baraza la mawaziri Kama alivyofanya do Shein...
Watalainika tuNEC ndiyo shida
Ni kweli na Baada ya hapa ataingia kwenye miko ya chini kimaemdeleoNi jambo lililo wazi na lisilopingika kwamba Lissu unahitaji kwenda vijijini kutafuta kura huko. Huko vijijini watu wamepigika kweli kimaisha. Kama ni umasikini wa kipato huko umetamalaki sana. Ukijua kucheza karata yako vizuri naamini utapindua meza asubuhi na mapema. Nenda Lissu! Nendaaa! Nendaaaa! Neeeendaaaaaa!
Uwanja wa chato unamtesa sana. Analia lia kwani mimi jamani hamuoni viwanja vingine mnaona cha chato tu??😁😁kilio chenu baada ya uchaguzi...
tumeibiwa kura[emoji3][emoji3]
hii ni ''real'', ngoja kashibe sasa.Ile ilikwa dramatized and not real!
Haya sio mahari ndo maana sio nongwaNdugu zangu,
JPM alipewa jogoo mmoja huko mikoa ya kusini ilikuwa nongwa leo Tundu kapewa majogoo wawili wale wale wanasifia.
Siku zinaenda kasi sana hapa ni Mkoa wa Songwe.
Washukuru Sana tunae Jembe atawaletea maendeleo halisi siyo ya midomoni ya kina magufuli et alMapokezi ya Mgombea Urais wa JMT kupitia Chadema Mhe. Tundu Lissu, Chitete - Momba, Hakuna mgombea Urais amewahi kufika tangu Tanzania inapata uhuru, eneo ambalo wananchi wanatatizo kubwa la Maji, wananchi wanakunywa maji pamoja na wanyama, hakuna hospitali ya wilaya.