Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Ninyi mnaompaka mafuta TAL kwa mgongo wa chupa mna mpango gani naye?

TAL mwenyewe anajua wazi kwamba hawezi kushinda hata nukta moja, ninyi mnamvimbisha kichwa weee kwa kitu kisichowezekana kabisa kwake. Ukitaka kujua haya niyasemayo, nenda vijijini kaulize kama hata anafahamika.

Mwaka 2015 EL na Power na ushawishi mkubwa sana lakini matokeo ya kura kule vijijini yalikuwa kama ifuatavyo:

Kituo A-CCM Kura 312, Chadema 21
Kituo B-CCM Kura 335, Chadema 27
Kituo C- CCM Kura 297, Chadema 12
Kwa hiyo, naomba msimpagawishe TAL kwa kitu kisichowezekana, asije akapata vidonda vya tumbo baada ya kukosa.

Sisi ndiyo tutapiga kura sasa tusiposema wapiga kura nani sasa atasema kuhusu kukubalika kwamgombea
 
Ivi ni mimi tuu?? Au mawani nayovaa ndio yanayonichanganya???

Ivi Wakuu Huu mvumo na upepo wa kisurisuri, gharika, ngurumo wa Lissu unakujaje ????

Wakuu Ivi ni mimi tu nayejiuliza hili NYOMI la Lissu SUMBAWANGA amelitoa wapi?????

Nauliza wakuu, Toka nianze mfatilia Lissu ktk kampeni, UKWELI NIKWAMBA KILA SIKU NYOMI LAKE LINAONGEZEKA MAELFU NA MAELFU

Embu basi mniambie , Wanasombwa na maBus ?? Malori?? Matrekta???? Kuna WASANII?????.

HAYA MAHABA ANAYOPEWA LISSU NA WANANCHI HAYA , NIYAPIMEJE ??

Jamaani Upinzani umepigwa miaka 5 ,wakapigwa bungen, wakapigwa kwa vyomboa vya habari, wamepigwa kila mahali, hamna sehem ambayo CHADEMA walipua, yaan CCM ilikua imeshajihakikishia

TUNDI LISSU NI ZAIDI YA LOWASSA .

WAKUU NAWA AHIDI, 28/10/2020 , ASUBUHI KABISA

-Mimi na Mzazi mwenzangu lazima tumpe kura T.LISSU.

-Mama yangu lazima ampe Lissu Kura. Mzee wangu ( Prof) naye wajumbe wakamla Kichwa kupitia CCM alitaka ubunge naye LAZIMA NIMWAMBIE AMPE KURA LISSU .

-- KAKA ZANGU na wote ninaowafahamu Ndugu rafiki jamii, lazima nao naanza kuwashawishi WAMPE LISSU KURA.


TUNDU LISSU ANANIPA AMANI SANA.

yaan sitaki hata hayo maendeleo alete, nataka tu kuona
CCM wametoka madarakani
UHURU kuanzia vyombo vya habari ,haki za watu
UHURU WA KUKOSOA SERIKALI.

NB.. KUANZIA LEO, WAGONJWA WOTEEEE NITAOKUTANA NAO ,NITAWASHAWISHI KABISA, KWA MOYO WANGU WOTE WAMCHAGUE LISSU.( Na uzuri wanajua madawa hamna, serikali inadaiwa na MSD mabilion na mabilion ya kitz).

HUYU MTU, ALIYEMUOKOA NJE YA RISASI 18, NAONA ANA MAKUSUDI NA MPANGO NAYE.

Mimi ni nani sasa wakupinga?? Mimi ninani sasa nisimuunge mkono???

Kama nawee umeona kama mimi,, RT mpaka MATAGA wa JF wajue Lissu ni MWAMBA.
 
Ivi ni mimi tuu?? Au mawani nayovaa ndio yanayonichanganya???

Ivi Wakuu Huu mvumo na upepo wa kisurisuri, gharika, ngurumo wa Lissu unakujaje ????


Wakuu Ivi ni mimi tu nayejiuliza hili NYOMI la Lissu SUMBAWANGA amelitoa wapi?????

Nauliza wakuu, Toka nianze mfatilia Lissu ktk kampeni, UKWELI NIKWAMBA KILA SIKU NYOMI LAKE LINAONGEZEKA MAELFU NA MAELFU


Embu basi mniambie , Wanasombwa na maBus ?? Malori?? Matrekta???? Kuna WASANII?????.

HAYA MAHABA ANAYOPEWA LISSU NA WANANCHI HAYA , NIYAPIMEJE ??


Jamaani Upinzani umepigwa miaka 5 ,wakapigwa bungen, wakapigwa kwa vyomboa vya habari, wamepigwa kila mahali, hamna sehem ambayo CHADEMA walipua, yaan CCM ilikua imeshajihakikishia


TUNDI LISSU NI ZAIDI YA LOWASSA .



WAKUU NAWA AHIDI, 28/10/2020 , ASUBUHI KABISA

-Mimi na Mzazi mwenzangu lazima tumpe kura T.LISSU.

-Mama yangu lazima ampe Lissu Kura. Mzee wangu ( Prof) naye wajumbe wakamla Kichwa kupitia CCM alitaka ubunge naye LAZIMA NIMWAMBIE AMPE KURA LISSU .

-- KAKA ZANGU na wote ninaowafahamu Ndugu rafiki jamii, lazima nao naanza kuwashawishi WAMPE LISSU KURA.


TUNDU LISSU ANANIPA AMANI SANA.


yaan sitaki hata hayo maendeleo alete, nataka tu kuona
[emoji117]CCM wametoka madarakani
[emoji117]UHURU kuanzia vyombo vya habari ,haki za watu
[emoji117][emoji117][emoji117]UHURU WA KUKOSOA SERIKALI.


NB.. KUANZIA LEO, WAGONJWA WOTEEEE NITAOKUTANA NAO ,NITAWASHAWISHI KABISA, KWA MOYO WANGU WOTE WAMCHAGUE LISSU.( Na uzuri wanajua madawa hamna[emoji23][emoji23][emoji23] serikali inadaiwa na MSD mabilion na mabilion ya kitz).


HUYU MTU, ALIYEMUOKOA NJE YA RISASI 18, NAONA ANA MAKUSUDI NA MPANGO NAYE.[emoji23][emoji23][emoji23]


Mimi ninani sasa wakupinga?? Mimi ninani sasa nisimuunge mkono???


Kama nawee umeona kama mimi,, RT mpaka MATAGA wa JF wajue Lissu ni MWAMBA.
Tumia cm yako tumia kila aina ya ushawishi ili nawe uwe mmoja wa watu waliofanya mabadiliko. Najiuliza hivi nani kamwambia anapendwa
 
Ivi ni mimi tuu?? Au mawani nayovaa ndio yanayonichanganya???

Ivi Wakuu Huu mvumo na upepo wa kisurisuri, gharika, ngurumo wa Lissu unakujaje ????

Wakuu Ivi ni mimi tu nayejiuliza hili NYOMI la Lissu SUMBAWANGA amelitoa wapi?????

Nauliza wakuu, Toka nianze mfatilia Lissu ktk kampeni, UKWELI NIKWAMBA KILA SIKU NYOMI LAKE LINAONGEZEKA MAELFU NA MAELFU

Embu basi mniambie , Wanasombwa na maBus ?? Malori?? Matrekta???? Kuna WASANII?????.

HAYA MAHABA ANAYOPEWA LISSU NA WANANCHI HAYA , NIYAPIMEJE ??


Jamaani Upinzani umepigwa miaka 5 ,wakapigwa bungen, wakapigwa kwa vyomboa vya habari, wamepigwa kila mahali, hamna sehem ambayo CHADEMA walipua, yaan CCM ilikua imeshajihakikishia


TUNDI LISSU NI ZAIDI YA LOWASSA .


WAKUU NAWA AHIDI, 28/10/2020 , ASUBUHI KABISA

-Mimi na Mzazi mwenzangu lazima tumpe kura T.LISSU.

-Mama yangu lazima ampe Lissu Kura. Mzee wangu ( Prof) naye wajumbe wakamla Kichwa kupitia CCM alitaka ubunge naye LAZIMA NIMWAMBIE AMPE KURA LISSU .

-- KAKA ZANGU na wote ninaowafahamu Ndugu rafiki jamii, lazima nao naanza kuwashawishi WAMPE LISSU KURA.

TUNDU LISSU ANANIPA AMANI SANA.

yaan sitaki hata hayo maendeleo alete, nataka tu kuona
[emoji117]CCM wametoka madarakani
[emoji117]UHURU kuanzia vyombo vya habari ,haki za watu
[emoji117][emoji117][emoji117]UHURU WA KUKOSOA SERIKALI.

NB.. KUANZIA LEO, WAGONJWA WOTEEEE NITAOKUTANA NAO ,NITAWASHAWISHI KABISA, KWA MOYO WANGU WOTE WAMCHAGUE LISSU.( Na uzuri wanajua madawa hamna[emoji23][emoji23][emoji23] serikali inadaiwa na MSD mabilion na mabilion ya kitz).

HUYU MTU, ALIYEMUOKOA NJE YA RISASI 18, NAONA ANA MAKUSUDI NA MPANGO NAYE.[emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi ninani sasa wakupinga?? Mimi ninani sasa nisimuunge mkono???

Kama nawee umeona kama mimi,, RT mpaka MATAGA wa JF wajue Lissu ni MWAMBA.
Wamekosea Sana kupiga marufuki hawakujawa kuwa chadema inavichana wengi wenye muamko wa kisiasa kingine ,miaka hii ni digital hata wafanyaje lazima kionekane tu.
 
Ivi ni mimi tuu?? Au mawani nayovaa ndio yanayonichanganya???

Ivi Wakuu Huu mvumo na upepo wa kisurisuri, gharika, ngurumo wa Lissu unakujaje ????

Wakuu Ivi ni mimi tu nayejiuliza hili NYOMI la Lissu SUMBAWANGA amelitoa wapi?????

Nauliza wakuu, Toka nianze mfatilia Lissu ktk kampeni, UKWELI NIKWAMBA KILA SIKU NYOMI LAKE LINAONGEZEKA MAELFU NA MAELFU

Embu basi mniambie , Wanasombwa na maBus? Malori? Matrekta? Kuna WASANII?

HAYA MAHABA ANAYOPEWA LISSU NA WANANCHI HAYA, NIYAPIMEJE ??

Jamaani Upinzani umepigwa miaka 5, wakapigwa bungen, wakapigwa kwa vyomboa vya habari, wamepigwa kila mahali, hamna sehem ambayo CHADEMA walipua, yaani CCM ilikua imeshajihakikishia.

TUNDI LISSU NI ZAIDI YA LOWASSA .

WAKUU NAWA AHIDI, 28/10/2020 , ASUBUHI KABISA

-Mimi na Mzazi mwenzangu lazima tumpe kura T.LISSU.

-Mama yangu lazima ampe Lissu Kura. Mzee wangu ( Prof) naye wajumbe wakamla Kichwa kupitia CCM alitaka ubunge naye LAZIMA NIMWAMBIE AMPE KURA LISSU .

-- KAKA ZANGU na wote ninaowafahamu Ndugu rafiki jamii, lazima nao naanza kuwashawishi WAMPE LISSU KURA.

TUNDU LISSU ANANIPA AMANI SANA.

yaan sitaki hata hayo maendeleo alete, nataka tu kuona
[emoji117]CCM wametoka madarakani
[emoji117]UHURU kuanzia vyombo vya habari ,haki za watu
[emoji117][emoji117][emoji117]UHURU WA KUKOSOA SERIKALI.

NB.. KUANZIA LEO, WAGONJWA WOTEEEE NITAOKUTANA NAO ,NITAWASHAWISHI KABISA, KWA MOYO WANGU WOTE WAMCHAGUE LISSU.( Na uzuri wanajua madawa hamna[emoji23][emoji23][emoji23] serikali inadaiwa na MSD mabilion na mabilion ya kitz).

HUYU MTU, ALIYEMUOKOA NJE YA RISASI 18, NAONA ANA MAKUSUDI NA MPANGO NAYE.[emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi ninani sasa wakupinga?? Mimi ninani sasa nisimuunge mkono???

Kama nawee umeona kama mimi,, RT mpaka MATAGA wa JF wajue Lissu ni MWAMBA.
Mkuu Mimi ninani hata nikupinge wewe? Mimi nitamchagua Lissu kwasababu nataka amani ya familia yangu sitaki waishi kwa uoga kisa mtu mmoja alieleta chuki katika taifa. Nitamchagua lisu namimi ninakura (23) zinazonisikiliza Mimi.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]Kupata vichekesho kama hivi andika neno BAVICHA kisha tuma kwenda mamba 28/10/2020
We sema vichekesho mlijua mwaka huu rahisi sana ila hamuamini kinacho tokea sijawahi piga kula tangu nilipo fikisha umri wa kupiga kula miaka hiyo ila mwaka huu lizame jua lichomoze lazima nipige kula ccm mmetufanya watanzania wajinga sana
 
Ivi ni mimi tuu?? Au mawani nayovaa ndio yanayonichanganya???

Ivi Wakuu Huu mvumo na upepo wa kisurisuri, gharika, ngurumo wa Lissu unakujaje ????

Wakuu Ivi ni mimi tu nayejiuliza hili NYOMI la Lissu SUMBAWANGA amelitoa wapi?????

Nauliza wakuu, Toka nianze mfatilia Lissu ktk kampeni, UKWELI NIKWAMBA KILA SIKU NYOMI LAKE LINAONGEZEKA MAELFU NA MAELFU

Embu basi mniambie , Wanasombwa na maBus ?? Malori?? Matrekta???? Kuna WASANII?????.

HAYA MAHABA ANAYOPEWA LISSU NA WANANCHI HAYA , NIYAPIMEJE ??

Jamaani Upinzani umepigwa miaka 5 ,wakapigwa bungen, wakapigwa kwa vyomboa vya habari, wamepigwa kila mahali, hamna sehem ambayo CHADEMA walipua, yaan CCM ilikua imeshajihakikishia

TUNDI LISSU NI ZAIDI YA LOWASSA .

WAKUU NAWA AHIDI, 28/10/2020 , ASUBUHI KABISA

-Mimi na Mzazi mwenzangu lazima tumpe kura T.LISSU.

-Mama yangu lazima ampe Lissu Kura. Mzee wangu ( Prof) naye wajumbe wakamla Kichwa kupitia CCM alitaka ubunge naye LAZIMA NIMWAMBIE AMPE KURA LISSU .

-- KAKA ZANGU na wote ninaowafahamu Ndugu rafiki jamii, lazima nao naanza kuwashawishi WAMPE LISSU KURA.


TUNDU LISSU ANANIPA AMANI SANA.

yaan sitaki hata hayo maendeleo alete, nataka tu kuona
CCM wametoka madarakani
UHURU kuanzia vyombo vya habari ,haki za watu
UHURU WA KUKOSOA SERIKALI.

NB.. KUANZIA LEO, WAGONJWA WOTEEEE NITAOKUTANA NAO ,NITAWASHAWISHI KABISA, KWA MOYO WANGU WOTE WAMCHAGUE LISSU.( Na uzuri wanajua madawa hamna, serikali inadaiwa na MSD mabilion na mabilion ya kitz).

HUYU MTU, ALIYEMUOKOA NJE YA RISASI 18, NAONA ANA MAKUSUDI NA MPANGO NAYE.

Mimi ni nani sasa wakupinga?? Mimi ninani sasa nisimuunge mkono???

Kama nawee umeona kama mimi,, RT mpaka MATAGA wa JF wajue Lissu ni MWAMBA.
Lissu ni mpango wa Mungu Kwa Watanzania. Tumpe kura zote mwaka huu
 
Back
Top Bottom