Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JPM hofu imempanda sasa. Mpaka anaona Lissu anamzidiCCM wanaumia sana kuona hivi!
Ukiona Magufuli anaanza kujadili mafuriko ya Lissu,ujue ni kweli amelegea kama alivyosema Lissu.
Awaeleze watanzania ni nini kinamfanya abadili mitazamo/msimamo/kauli zake za awali kama sio nguvu na ushawishi mkubwa alionao Lissu unaaopimwa kupitia mafuriko ya watu kwenye mikutano yake?
Akijza Jpm mnasema kajaza kura. Akijaza Lissu mnasema kura na mkusanyiko ni vitu viwili.😆😆Mapenzi na Kura ni vitu viwili tofauti...... Muulize Lowassa!
And For that he must be a next president.Tunampenda na kumkubali sana Tundu Lissu. Ndiye tumaini letu huyu Genius. Kura zote za Urais tunampa yeye.
Jpm kashaona hilo. Ameanza kukata tamaa sasaMikutano ya bila wasaniii wa bongo fleva kusingekuwa na mtu wangebakia kuhutubia miti na makada wenzao
Aliwekeza pesa nyingi na nguvu nyingi kwenye kuua upinzani matokea yamekuwa ndivyo sivyoAnaweweseka kwani alikubali uongo kwamba Chadema imekufa kutokana na juhudi zake za kidikteta.
Fallen into Trap. Mtanyoka mwaka huu. Hapa tuna mpinzani halisi hakuna mapandikizi hapa.BAVICHA! Wazee wa kujitekenya na kucheka!
Magufuli anakutana na umati halisi wa watanzania kila anapopita, tena wamepagawa kwa jinsi wanavyoridhishwa na uongozi wake.
BAVICHA wanatumia nguvu nyingi kutupia nyuzi nyingi JF za kumkashifu Magufuli! Na mapicha ya ku edit au za "angle"!
Kwa akili ya kindergarten nani atapata kura nyingi? Nyuzi hata mkitoa 1000 kwa siku hazipigi kura, uhalisia huko "site" Magu anacheza na uhalisia wa "site".
Mngekuwa mna akili mngejifunza kidogo kwa Dr Slaa. Kipindi yuko CHADEMA , miaka ya kuelekea uchaguzi wa 2015 alizama "cite" kwa wananchi wa vitongojini na vijijini na kuendesha kampeni iliyoikuza sana CHADEMA.
Hahahaa tutawatoa damu puani makenge hawaNimeona clip moja eti yale mapiga dili makuu yameungana kwenda kuomba msamaha!!
Yaani Kuna mijitu ni minafiki nchi hii sijapata kuona!!
Lissu atosha!!
😆😆😆eti za kutengeza🤣🤣🤣Hapo kuna mapenzi au upuuzi
Picha zinaonyesha wazi ni za kutengeneza. Fala kama wewe na mafala wenzako ndio mtashangilia upuuzi kama huu.
Kwani kwa akili zako unajua huyu kibaraka atashinda?. Acha mihemko.Bado una akili za kushikiwa huwezi kuelewa mambo yaliyokuzidi kimo. Pole zako.
Acha kufurahia upuuzi.Aisee!! Kagera wameonyesha Hasira yaani hadi Vijijini ni Nyomi
Naamini wapo zaidi ya hao,ingekuwa hao tu,Hali isingekuwa kamailivyo leo.Polepole na Bashiru wanamdanganya sana huyu mzee baba.
Upuuzi utakua umepoteza maanaAcha kufurahia upuuzi.View attachment 1577445
Kwani kwa akili zako unajua huyu kibaraka atashinda?. Acha mihemko.
Leo mzee kavaa hivi.Acha kufurahia upuuzi.View attachment 1577445
Ikifika october 28 au november 3 utapata majibu ya nani ni nani