Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Wafuasi wa CHADEMA kwa sasa Wanachokifanya ni kwenda kumfuata mgombea wao wa urais kwa kutembea akiwa bado yuko mbali sana na mji/mohali anapofanyia mkutano...
Angalieni Mbuzi ya Lumumba hii
 
Utakuwa una matatizo ya usikivu wewe kuhusu sera za Chadema zinazowekwa hadharani na Lissu the GREATEST hadi KICHAA anaweweseka.
Kama mnadhani viongozi wa CHADEMA ndio wenye mtaji wa TUHUMA, kadiri siku ya kupiga kura inavyokaribia, ndivyo siri za viongozi wake zinavyoanikwa nje. Kwa kuanzia sikiliza hii hapa kwa umakini.

Baada ya kuisikiliza na zingine zilizohifadhiwa (Shambulio la Lissu na Mbowe, kupotea kwa Saanane, mauaji ya Mawazo, nk) kuwekwa wazi, mwenye KICHAA kuweweseka atajulikana.

Wahenga walisema "kama wewe ni mgomvi usijifiche kwenye nyumba ya vioo."
 
Wafuasi wa CHADEMA kwa sasa Wanachokifanya ni kwenda kumfuata mgombea wao wa urais kwa kutembea akiwa bado yuko mbali sana na mji/mohali anapofanyia mkutano.

Style hii ya kupiga kampeni itatugharimu kiuchumi,barabara zinafungwa masaa karibia 5,pia tunapaswa kujua kuwa watu mia tano au mia nane wakiandamana barabarani wanachukua nafasi kubwa saaana.

Ni kweli mnatafuta kuonekana mna watu wengi kwa kutumia style hii japo sio wengi maana hata wanafunzi wa shule moja ukiwaambia waandamane barabarani wataonekana ni wengi,na hii mbinu tulikuwa tunaitumia mashuleni na vyuoni enzi zile kufanya migomo.

Nachotaka kieleweke ni kwamba,kuna shughuli nyingi sana za kiuchumi mnawakwamisha wananchi wa Tz na mbaya zaidi mnataka tuwachangie pesa kwenye mikutano yenu.
Nimeamini Shetani wa mtu ni Mtu
 
Wafuasi wa CHADEMA kwa sasa Wanachokifanya ni kwenda kumfuata mgombea wao wa urais kwa kutembea akiwa bado yuko mbali sana na mji/mohali anapofanyia mkutano.

Style hii ya kupiga kampeni itatugharimu kiuchumi,barabara zinafungwa masaa karibia 5,pia tunapaswa kujua kuwa watu mia tano au mia nane wakiandamana barabarani wanachukua nafasi kubwa saaana.

Ni kweli mnatafuta kuonekana mna watu wengi kwa kutumia style hii japo sio wengi maana hata wanafunzi wa shule moja ukiwaambia waandamane barabarani wataonekana ni wengi,na hii mbinu tulikuwa tunaitumia mashuleni na vyuoni enzi zile kufanya migomo.

Nachotaka kieleweke ni kwamba,kuna shughuli nyingi sana za kiuchumi mnawakwamisha wananchi wa Tz na mbaya zaidi mnataka tuwachangie pesa kwenye mikutano yenu.
Mkuu nilitaka kuandika uzi kama huu, nakumbuka shule yetu ilikuwa na wanafunzi 1000, tulikuwa tukiandamana 500 tu ilikuwa shida.
 
Wafuasi wa CHADEMA kwa sasa Wanachokifanya ni kwenda kumfuata mgombea wao wa urais kwa kutembea akiwa bado yuko mbali sana na mji/mohali anapofanyia mkutano.

Style hii ya kupiga kampeni itatugharimu kiuchumi,barabara zinafungwa masaa karibia 5,pia tunapaswa kujua kuwa watu mia tano au mia nane wakiandamana barabarani wanachukua nafasi kubwa saaana.

Ni kweli mnatafuta kuonekana mna watu wengi kwa kutumia style hii japo sio wengi maana hata wanafunzi wa shule moja ukiwaambia waandamane barabarani wataonekana ni wengi,na hii mbinu tulikuwa tunaitumia mashuleni na vyuoni enzi zile kufanya migomo.

Nachotaka kieleweke ni kwamba,kuna shughuli nyingi sana za kiuchumi mnawakwamisha wananchi wa Tz na mbaya zaidi mnataka tuwachangie pesa kwenye mikutano yenu.
WATANZANIA wengi wamechoka drama za hii saccos. Kwa sasa wanajitembeza tu, hakuna wa kuwanunua safari hii. Kama ni michango wamuulize cheamani zile 1ml na 500k za wabunge, pamoja na zile ruzuku kaweka kwenye shelf gani pale Ufipa.
 
Wasanii wetu mjifunze mnayemtumikia siye mbona kwa Lissu wanajaa na nyie hampo?
 
Kama mnadhani viongozi wa CHADEMA ndio wenye mtaji wa TUHUMA, kadiri siku ya kupiga kura inavyokaribia, ndivyo siri za viongozi wake zinavyoanikwa nje. Kwa kuanzia sikiliza hii hapa kwa umakini.

Baada ya kuisikiliza na zingine zilizohifadhiwa (Shambulio la Lissu na Mbowe, kupotea kwa Saanane, mauaji ya Mawazo, nk) kuwekwa wazi, mwenye KICHAA kuweweseka atajulikana.

Wahenga walisema "kama wewe ni mgomvi usijifiche kwenye nyumba ya vioo."
Huyu alipaswa baada ya mkutano tu awe mikononi mwa polisi.
 
Lissu kashamwingiza choo cha kike. Hata uwanja wa chato olikuwa hivi hivi. Baada ya kuona Wananchi wanakubaliana na Lissu kuwa uwanja ule hauna maana yoyote kwao.
... kati ya white elephant projects kuwahi kutokea nchi hii Chato International Airport utamsuta mzee baba hadi siku anaingia kaburini! Kama kuna mahali hela imechezewa ni pale halafu mwisho wa siku wakishaachia madaraka; uzee umewaelemea wanakuja kujidai "kujuta" wakati saa hizi viburi!
 
Huyu Makene ni mtu wa ajabu sana badala kuupdates ratiba ya mgombea urais hapa jukwaani amepiga kimya
 
Kama mnadhani viongozi wa CHADEMA ndio wenye mtaji wa TUHUMA, kadiri siku ya kupiga kura inavyokaribia, ndivyo siri za viongozi wake zinavyoanikwa nje. Kwa kuanzia sikiliza hii hapa kwa umakini.

Baada ya kuisikiliza na zingine zilizohifadhiwa (Shambulio la Lissu na Mbowe, kupotea kwa Saanane, mauaji ya Mawazo, nk) kuwekwa wazi, mwenye KICHAA kuweweseka atajulikana.

Wahenga walisema "kama wewe ni mgomvi usijifiche kwenye nyumba ya vioo."
Watanzania wa sasa sio wajinga uwadanganye kijingajinga namna hii.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom