Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Baada ya kukaa kwenye ajenda za ndege na uwanja wa ndege chato kwa muda mrefu Sasa karudi kwenye swala hatari la sukari.

Anasema "Ujapandisha mishahara kwa miaka 5 lakini sukari uliikuta 1800 sasa hivi inauzwa 3,000 halafu unajiita Rais wa wanyonge.

Rais gani wa wanyonge design hii?"

Anasema kahawa kilo moja ilikuwa inauzwa 2500 mwaka 2015 Wakati anaingia madarakani halafu leo inauzwa 1100 yaani imeporomoka! halafu unajiita Rais wa wanyonge wanyonge wa wapi hawa?

Sukari uliipandisha kwa ulimi wako na kahawa uliishusha kwa ulimi wako Sasa utakuwa Rais wa wanyonge wapi?

My take: Rais atafutiwe mtu wa kumjibia hoja za Lissu maana sioni uwezo wake wa kujibu hizi hoja na graph ya Lissu kila siku inapanda hata kwa mtu asiyependa kusikia kwa vyovyote ataguswa

Uwe CCM uwe upinzani hoja za Tundu Lissu zitakugusa tu.
Maskini Magufuli. Alijua miaka mitano haitaisha. Ameimaliza kwa aibu kubwa
 
Wewe ni mwanafunzi katika uchambuzi wa siasa. Lissu kwa kauli hizo anampandisha chati Magufuli huku akijichimbia kaburi lake.

Ni Mtanzania anayetoka nje ya nchi, kama Lissu aliyekuwa nje ya nchi, anaweza kutamka vioja hivyo akaamini ni HOJA.

Ati sukari, ati kahawa! Du!
Alichosema Lissu ni uongo??
 
Hapana TL ni shida ,watanzania wote m 50+ kila mmoja alikuwa anamuogopa Meko kuliko chochote lakini TL haogopi chochote na hii nadhani ni baada ya kukoswa risasi 16
Ogopa sana ukimpiga Mboto risasi ikamjeruhi asife. Kimbia sana
 
naomba kukujuza yafuatayo:-
1.Makumi na makumi ya vijana wamepigwa risasi na kuuaw ziwa victoria,
wakiw ktk hrtk za uvuvi, kw kisingizio kuw wamevuk na kuingia hifadhi ya rubondo,
badal ya kukamatwa na kufikishw mahakaman.

2. Kampeni za Jiwe kw chato,
wenye vibanda, wafanyabiashar ndogo ndog na wafanybiashar wakubw wakiongozw na SULEIMU RWAIKONDO mwenye mikopo umiza,
walichangishw ili kufanikish,
ili hali yy anakejeli chadema kuchangisha.
wkt yy anazo za kuchota tu.

3.huku upinzan upo kw sana,
na sio kwmb anapendw kivile hapan,
tena hata ubunge walikuw washamchok sn.
kw hiyo usihofu,
kanyaga tu.

4. pia ule mrad w kubadili plate namba za pikipik mara tu alipoingiA,
nahis una upigaji ndan yake, uchunguzwe.

5.Chato tuna mbunge wa hovyo sana,
yaan anabebw na Jiwe tu,
vinginevyo hata yy asingethubutu kupoteza muda wake.
yaan ni mbunge wa serikali sio wa jimbo lake ,hana llote.
basi tu 2025 jimbo lipo wazi kabs hili hata sasa basi tu.

........
krb MH TUNDU LISSU.
nawakilisha
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wenye akili wako kimyaaa field wanaoanga mikakati ya ushindi!

Wajinga wako jf wanafarijiana kwa mafuriko ambayo hata Slaa miaka 10 iliyopita akikuwa nayo!

Lisu wenu ni kama kidagaa tu na kamwe ccm haiwezi kukosa usingizi kisa Lisu.
20200814_164053.jpg
 
Kuna watu baada ya oktoba, 28 watapata magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo presha na sukari.

Et mtu na akili zake timamu anaamini kabisa Lissu atakuwa Rais wa JMT , nasema hivi Lissu siyo tu hawezi kuwa Rais bali hawezi kufikisha hata 5% ya kura atakazozipata Magufuli.

Video nyingi zinazowekwa mtandaoni zikionyesha Lissu kupata mapokezi makubwa ni edited mfamo mzuri Jana mkoa wa Kagera ule ameshindwa kabisa kuujaza uwanja wa Gymcana, bado hata leo Katoro Geita amepata mapokezi kiduchu kweli.

Wananchi kwenye mikutano ya TA Lissu inayokuwa edited wanatokea kuwa na furaha wakiwa karibu kabisa na mtu wao...
Hali ni tofauti kabisa kwenye mikutano isiyokuwa edited ya JPM ambako wananchi wapo kimya mbali kabisa na mgombea utafikiri wamelazimishwa kuwepo pale...

#Mitano kwanza vs Mitano tena
#Mbeba maono vs Mkuu wa malaika
#Kiongozi wa watu vs Mtawala wa watu
#Mfariji wa Taifa vs Mkandamijazi

Watanzania si wajinga tena!!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wenye akili wako kimyaaa field wanaoanga mikakati ya ushindi!

Wajinga wako jf wanafarijiana kwa mafuriko ambayo hata Slaa miaka 10 iliyopita akikuwa nayo!

Lisu wenu ni kama kidagaa tu na kamwe ccm haiwezi kukosa usingizi kisa Lisu. View attachment 1578639

Kwenye chaguzi hizo mliiba sana... Lakini this time ugali moto mboga moto... Mtajua hamjui...!
 
Lilifanyika kosa la kiufundi kuzuia mikutano,haya yangezungumzwa kpnd chote cha miaka mitano wananchi wangezoea na wangeona ni kitu cha kawaida. Hata sasa,kuzuia matangazo mubashara ni makosa makubwa.
Ni bora tume ingemuengua
Walijaribu kumuengua ilishindikana kabisa
 
Lisu ameshindwa kupata pigo la ushindi,

Anatapatapa tu,

Habari yake inaisha 28/10/2020.
 
Baada ya kukaa kwenye ajenda za ndege na uwanja wa ndege chato kwa muda mrefu Sasa karudi kwenye swala hatari la sukari.

Anasema "Ujapandisha mishahara kwa miaka 5 lakini sukari uliikuta 1800 sasa hivi inauzwa 3,000 halafu unajiita Rais wa wanyonge.

Rais gani wa wanyonge design hii?"

Anasema kahawa kilo moja ilikuwa inauzwa 2500 mwaka 2015 Wakati anaingia madarakani halafu leo inauzwa 1100 yaani imeporomoka! halafu unajiita Rais wa wanyonge wanyonge wa wapi hawa?

Sukari uliipandisha kwa ulimi wako na kahawa uliishusha kwa ulimi wako Sasa utakuwa Rais wa wanyonge wapi?

My take: Rais atafutiwe mtu wa kumjibia hoja za Lissu maana sioni uwezo wake wa kujibu hizi hoja na graph ya Lissu kila siku inapanda hata kwa mtu asiyependa kusikia kwa vyovyote ataguswa

Uwe CCM uwe upinzani hoja za Tundu Lissu zitakugusa tu.
Mzee Yusuph amerudi kwa kasi sana kwenye chati ya taarab. Si ajabu mistari anaandikiwa na Lissu!!!
 
Back
Top Bottom