naomba kukujuza yafuatayo:-
1.Makumi na makumi ya vijana wamepigwa risasi na kuuaw ziwa victoria,
wakiw ktk hrtk za uvuvi, kw kisingizio kuw wamevuk na kuingia hifadhi ya rubondo,
badal ya kukamatwa na kufikishw mahakaman.
2. Kampeni za Jiwe kw chato,
wenye vibanda, wafanyabiashar ndogo ndog na wafanybiashar wakubw wakiongozw na SULEIMU RWAIKONDO mwenye mikopo umiza,
walichangishw ili kufanikish,
ili hali yy anakejeli chadema kuchangisha.
wkt yy anazo za kuchota tu.
3.huku upinzan upo kw sana,
na sio kwmb anapendw kivile hapan,
tena hata ubunge walikuw washamchok sn.
kw hiyo usihofu,
kanyaga tu.
4. pia ule mrad w kubadili plate namba za pikipik mara tu alipoingiA,
nahis una upigaji ndan yake, uchunguzwe.
5.Chato tuna mbunge wa hovyo sana,
yaan anabebw na Jiwe tu,
vinginevyo hata yy asingethubutu kupoteza muda wake.
yaan ni mbunge wa serikali sio wa jimbo lake ,hana llote.
basi tu 2025 jimbo lipo wazi kabs hili hata sasa basi tu.
........
krb MH TUNDU LISSU.
nawakilisha