fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Kwenye kichwa chako amna ubongo kuna makamasiMwalimu wa kufundisha watu juu ya haki ya faragha? Ili wawe wanafanya kinyume na maumbile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye kichwa chako amna ubongo kuna makamasiMwalimu wa kufundisha watu juu ya haki ya faragha? Ili wawe wanafanya kinyume na maumbile.
Mkuu me nilikuwa na kauchovu kakupiga kura ila baada ya Darasa alilo nipa Lissu inyeshe mvua liwake jua lazima apate kura yangu na kula kila dalili za kuilinda kura yanguHabari za wakati wakuu
Nimekaa nikafikiria nikaona tuzunfumze kdg juu ya Vuguvugu hili la uchaguzi juu ya Mhe tundulissu
Kwa mm ninavyoonelea Lissu amekuwa na mvuto wa ajabu sana kwa wananchi ukilinganisha na mgombea wa chama cha kijani hii ni dhahiri watu wamepata mwamko mpya wa kupiga kura tofauti na hapo mwanzo walikuwa wamekata tamaa kabisa picha za chini hapa zinaonyesha Mhe lissu akinganganiwa ni tofauti na chama cha upande wa pili
Nini maono yako juu ya hali hii mimi naona asilimia 💯 lissu anachukuwa nchi kama kutakuwa ni huru kabisa
Heheeeeeee Benki ya Chato,mzee kaishiwa jamani tumstahi."Ukiwa na kitambulusho cha machinga unapata mkopo Benki" Magufuli
Tehe teheeee
Zitambue kwanza sera alafu ndiyo uje nanukoma wako juha!Kabla hujaanza kampeni, nchi ilikuwa imekata tamaa. Watu walikuwa wamekata tamaa wakijiuliza ni lini ukombozi wao utakuja. Nchi ilikuwa kilio kila mahali si wa CCM, CHADEMA, CUF wala ACT...