Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Wanaofurika mikutano ya Tundu Lisu wengi vijana ambao 2015 walikuwa hawajafikisha umri wa kupiga kura

Ukiangalia age group ya wahudhuriaji ni kati ya miaka 20 had 23 wengi wavulana

Wasichana na akina mama na watu wazima huwaoni mikutano ya Lisu ni wachache mno

Tafsiri yake ni kuwa wengi wanaenda tu kama burudani mtoko ndio tabia za wavulana wadogo

Pili sio kundi serious sana wengi huwa hawapigi kura na hawana vitambulisho vya mpiga kura sana vya taifa tu

Ukienda vituo vya kura ni nadra kuwaona vijana wa umri huo kwenye mistari ya kupiga kura.

Tafsiri ingine ni kuwa Lisu hakubaliki kwa makundi yote ya age group na gender zote sababu wahudhuriaji wengi wavulana
IMG-20200930-WA0006.jpg
 
Wanaofurika mikutano ya Tundu Lisu wengi vijana ambao 2015 walikuwa hawajafikisha umri wa kupiga kura

Ukiangalia age group ya wahudhuriaji ni kati ya miaka 20 had 23 wengi wavulana

Wasichana na akina mama na watu wazima huwaoni mikutano ya Lisu ni wachache mno

Tafsiri yake ni kuwa wengi wanaenda tu kama burudani mtoko ndio tabia za wavulana wadogo

Pili sio kundi serious sana wengi huwa hawapigi kura na hawana vitambulisho vya mpiga kura sana vya taifa tu

Ukienda vituo vya kura ni nadra kuwaona vijana wa umri huo kwenye mistari ya kupiga kura.

Tafsiri ingine ni kuwa Lisu hakubaliki kwa makundi yote ya age group na gender zote sababu wahudhuriaji wengi wavulana
Haya ni maoni au utafiti?
 
1. Hii tafiti umefanyia wapi?
2. Ile kauli ya CDM wanaedit picha mmeifuta na kwa hiyo sasa hivi mnakiri 'wanafurika'?[emoji116][emoji116]
Wanaofurika mikutano ya Tundu Lisu wengi vijana ambao 2015 walikuwa hawajafikisha umri wa kupiga kura

Hii age group ipo kwenye range ya kupiga kura kwa hiyo ni mtaji sana kwake.[emoji116][emoji116]
Ukiangalia age group ya wahudhuriaji ni kati ya miaka 20 had 23 wengi wavulana

Wanaenda kama burudani?!
Kuna burudani gani kwenye mikutano ya Lissu? Kama hoja yako ingekuwa na mashiko, kundi hilo (20-23yrs) lingejaa kwa Meko anayezurura na wasanii kama fiesta.[emoji116][emoji116]
Tafsiri yake ni kuwa wengi wanaenda tu kama burudani mtoko ndio tabia za wavulana wadogo

Hebu toa maoni kuhusu makundi haya kwenye kampeni za Meko, je ni wapiga kura?[emoji116][emoji116]

tapatalk_1601391027712.jpeg
tapatalk_1600191461372.jpeg
 

Attachments

  • tapatalk_1601388886353.jpeg
    tapatalk_1601388886353.jpeg
    112.6 KB · Views: 1
Wanaofurika mikutano ya Tundu Lisu wengi vijana ambao 2015 walikuwa hawajafikisha umri wa kupiga kura

Ukiangalia age group ya wahudhuriaji ni kati ya miaka 20 had 23 wengi wavulana

Wasichana na akina mama na watu wazima huwaoni mikutano ya Lisu ni wachache mno

Tafsiri yake ni kuwa wengi wanaenda tu kama burudani mtoko ndio tabia za wavulana wadogo

Pili sio kundi serious sana wengi huwa hawapigi kura na hawana vitambulisho vya mpiga kura sana vya taifa tu

Ukienda vituo vya kura ni nadra kuwaona vijana wa umri huo kwenye mistari ya kupiga kura.

Tafsiri ingine ni kuwa Lisu hakubaliki kwa makundi yote ya age group na gender zote sababu wahudhuriaji wengi wavulana
na sasa wana vichinjio

imgres.jpg



mtajuta kuwafahamu maana hadi leo hawana ajira
 
Wanaofurika mikutano ya Tundu Lisu wengi vijana ambao 2015 walikuwa hawajafikisha umri wa kupiga kura

Ukiangalia age group ya wahudhuriaji ni kati ya miaka 20 had 23 wengi wavulana

Wasichana na akina mama na watu wazima huwaoni mikutano ya Lisu ni wachache mno

Tafsiri yake ni kuwa wengi wanaenda tu kama burudani mtoko ndio tabia za wavulana wadogo

Pili sio kundi serious sana wengi huwa hawapigi kura na hawana vitambulisho vya mpiga kura sana vya taifa tu

Ukienda vituo vya kura ni nadra kuwaona vijana wa umri huo kwenye mistari ya kupiga kura.

Tafsiri ingine ni kuwa Lisu hakubaliki kwa makundi yote ya age group na gender zote sababu wahudhuriaji wengi wavulana
Hawa hapa ndiyo wazee na watu wazima?[emoji116]

View attachment 1586438
20200908_121726.jpg
20200908_121719.jpg
 
Napingana na ww kwenye hili. Kwanza hujafanya research yoyote. Guess umekuja na assumption kwa kuangalia picha tu.
Pili huwez sema 2015 Walikuwa wadogo wkt lowassa alikuwa watu wengi kuliko hawa wa sasa... ndio tuseme nao walikuwa wadogo No?
Huwez kusema hawako serious.. umewafanyia vetting mikutano yote ukapata majibu?
Detective J, huyu kama siyo Magufuli ni Polepole au Doto James. Fuatilia threads zake utagundua hali aliyo nayo. His threads are completely out of panic. Aendelee kupambana tu....
 
Hii ilikua mwaka 1979 huyo mama hapo akifurahia jeshi la Tz kurudi salama nyumbanì baada ya kua limemchapa Idd Amin.
Screenshot_2020-09-30-21-46-48-1.jpg
 
Chukua video yoyote ya mikutano ya Lisu utaona ni boys meeting wavulana ndio wanafurika
Hawa ndio watu wazima wapiga kura wa ccm wanaoachishwa masomo ili kujaza viwanja kuhadaa watz
IMG-20200930-WA0006.jpg
 
Ukianza shabikia ccm na akili zinakukimbia hapohapo
 
Wanaofurika mikutano ya Tundu Lisu wengi vijana ambao 2015 walikuwa hawajafikisha umri wa kupiga kura

Ukiangalia age group ya wahudhuriaji ni kati ya miaka 20 had 23 wengi wavulana

Wasichana na akina mama na watu wazima huwaoni mikutano ya Lisu ni wachache mno

Tafsiri yake ni kuwa wengi wanaenda tu kama burudani mtoko ndio tabia za wavulana wadogo

Pili sio kundi serious sana wengi huwa hawapigi kura na hawana vitambulisho vya mpiga kura sana vya taifa tu

Ukienda vituo vya kura ni nadra kuwaona vijana wa umri huo kwenye mistari ya kupiga kura.

Tafsiri ingine ni kuwa Lisu hakubaliki kwa makundi yote ya age group na gender zote sababu wahudhuriaji wengi wavulana
Vijana wana nguvu za kutembea umbali mrefu, kumbuka kwa Lissu hakuna matrekta au malori ya mchanga kubeba watu
 
Wanaofurika mikutano ya Tundu Lisu wengi vijana ambao 2015 walikuwa hawajafikisha umri wa kupiga kura

Ukiangalia age group ya wahudhuriaji ni kati ya miaka 20 had 23 wengi wavulana

Wasichana na akina mama na watu wazima huwaoni mikutano ya Lisu ni wachache mno

Tafsiri yake ni kuwa wengi wanaenda tu kama burudani mtoko ndio tabia za wavulana wadogo

Pili sio kundi serious sana wengi huwa hawapigi kura na hawana vitambulisho vya mpiga kura sana vya taifa tu

Ukienda vituo vya kura ni nadra kuwaona vijana wa umri huo kwenye mistari ya kupiga kura.

Tafsiri ingine ni kuwa Lisu hakubaliki kwa makundi yote ya age group na gender zote sababu wahudhuriaji wengi wavulana
Ok sawa,

wanao jaza nyomi la magu Ni wanafunzi wa shule ambao hawapigi kura
 
Wanaofurika mikutano ya Tundu Lisu wengi vijana ambao 2015 walikuwa hawajafikisha umri wa kupiga kura

Ukiangalia age group ya wahudhuriaji ni kati ya miaka 20 had 23 wengi wavulana

Wasichana na akina mama na watu wazima huwaoni mikutano ya Lisu ni wachache mno

Tafsiri yake ni kuwa wengi wanaenda tu kama burudani mtoko ndio tabia za wavulana wadogo

Pili sio kundi serious sana wengi huwa hawapigi kura na hawana vitambulisho vya mpiga kura sana vya taifa tu

Ukienda vituo vya kura ni nadra kuwaona vijana wa umri huo kwenye mistari ya kupiga kura.

Tafsiri ingine ni kuwa Lisu hakubaliki kwa makundi yote ya age group na gender zote sababu wahudhuriaji wengi wavulana
 
Back
Top Bottom