Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Keep consoling yourself Bro...CCM will always be ahead of any political party in this country.

JPM is going to win this election on October 28, Keep your eyes open.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI


Jpm must go now we are going to choose God fearing person and not dictator keep ur eyes up.
 
Jpm must go now we are going to choose God fearing person and not dictator keep ur eyes up.
Your wish wont happen, I know even Lissu understand that Magufuli is going to win with high margin.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Keep consoling yourself Bro...CCM will always be ahead of any political party in this country.

JPM is going to win this election on October 28, Keep your eyes open.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
JPM himself revealed he will win coming elections whether people vote for him or not! No wonder as he controls the NEC and can chose any victory level, unfortunately you walk behind him with no moral sense at all.
 
JPM himself revealed he will win coming elections whether people vote for hime or not! No wonder as he controls the NEC and can chose any victory level, unfortunately you walk behind him with no moral sense at all.
When did he say that? CCM have great chance of winning this election due to the best development records in the past five years...Magufuli has done tremendous work that no one in Chadema can do.

Let us be fair Magufuli has done good work and we have to offer him another 5 years.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Ten years consecutively from 2020-2030 our country should under strong leader the man of fortune Tundulissu .

As well I urging after Tundulissu elected , We can carrying out constitution amending to allow Tundulissu to rule our country forever like China .
If that importance is very visible to Administrators such as NEC for the benefit of the country then they should let a free and fair play to take place. We all know they are worrying of the consequences that may arisw from a different leader. But we wish to assuare them bo bot will be harrassed foe wrongdoing while implementing national duties.

All the best Hon Tundu Lissu.
 
When did he say that? CCM have great chance of winning this election due to the best development records in the past five years...Magufuli has done tremendous work that no one in Chadema can do.

Let us be fair Magufuli has done good work and we have to offer him another 5 years.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Assassination of Akwilina.
Influx of massive unemployment*
Assassination attempt to opposition figure Tundulissu*


kidnapped which occurs in five yrs
 
When did he say that? CCM have great chance of winning this election due to the best development records in the past five years...Magufuli has done tremendous work that no one in Chadema can do.

Let us be fair Magufuli has done good work and we have to offer him another 5 years.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
If Magufuli was truly confident of his good works, he wouldn't have disgraced himself in Njombe when he went public on his knees! Everyone understood what that gesture meant; a desperate contender relying on the mercy of the voters.
 
Dhana mbaya kuliko zote ni kuona mambo mazuri aliyoyafanya mtu, ukajitia upofu na kuwaamnisha watu wengine kwamba hakuna kinachoonekana.

Mbunge wa Bunda Esther Bulaya aliwahi kulalamikia huduma mbaya ya Air Tanzania alipoipanda kutoka Mwanza mpaka Dar Es Salaam. Hapa kinachoshangaza sio ubovu wa huduma, ni mtu aliyepinga ununuzi wa ndege pamoja na wenzake alipata wapi ujasiri wa kulipia ndege na kuipanda, akafika salama na bado akapata nafasi ya kukosoa huduma.

Kwenye kampeni wabunge wa CHADEMA pamoja na mgombea wao wa urais, Tundu Lissu bado wanawahadaa wananchi kwamba hakuna kinachofanyika na juzi wamekuwa wa kwanza kupita barabara ya juu iliyofunguliwa hili wakakosoe ujenzi.

Kusema kweli kama Lissu ataendelea na kauli za namna hii, kupinga kila kilichofanywa na Rais Magufuli basi atafute kazi nyingine hata uanasheria haumfai maana kutetea watu inakuhitaji kwanza kutambua umuhimu wao.

Najiuliza sana kama Magufuli asingemvimbia kirusi Corona, Lissu angeingiaje nchini. Hilo peke yake linatosha kabisa kumfanya Lissu amshukuru Magufuli. Najua angeendelea kurukaruka nchi tofauti akiichafua serikali yetu, taifa letu na rais wetu. Baada ya uchafu wote ulioueneza, kulipaka matope taifa letu na kuwafanya watanzani wote tuonekane wabaya, unataka kuwa rais wetu!!!!

Pamoja kwamba Tanzania ni huru na kila mwananchi ana uhuru wa kuongea chochote anachojisikia, tuwe na aibu na tumuogope Mungu hasa unapojua ukweli na bado ukakasa mishipa ya shingo kusema uongo.
 
Tundu Lisu must be a leader of this country with no matter what,even if he fails to do so we will be with him in 2025,though I believe that without making him the President we will pass more hard five years than that of the first phase!!!
 
Kila mtu ana mtazamo wake katika Kila Jambo Kwan hata huyo magu asingefanya hayo pasi na uwepo wa hizo kelele
 
Assassination of Akwilina.
Influx of massive unemployment*
Assassination attempt to opposition figure Tundulissu*


kidnapped which occurs in five yrs
First do you know how to use the word Assassination?

Secondly, unemployment issue is a global problem not only Tanzania is the victim of it, and as a matter of fact the government can not afford to employ all graduates as well can't solve this problem over night.

We need to strengthen private sector and create conducive environment that can attract FDI something which our policy makers are doing well on it.

Even Rome was not built on a single day let us be patient.

October 28 , Please vote for Magufuli.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Ivi huwa mnafikiri huduma za jamii ni za kwenu peke yenu kwa kuwa nchi yenu sisi wapangaji,au!? Kwa kuwa mnalipa kodi sisi hatulipi au!? Ebu badilikeni bwana!!!
 
Dhana mbaya kuliko zote ni kuona mambo mazuri aliyoyafanya mtu, ukajitia upofu na kuwaamnisha watu wengine kwamba hakuna kinachoonekana.

Mbunge wa Bunda Esther Bulaya aliwahi kulalamikia huduma mbaya ya Air Tanzania alipoipanda kutoka Mwanza mpaka Dar Es Salaam. Hapa kinachoshangaza sio ubovu wa huduma, ni mtu aliyepinga ununuzi wa ndege pamoja na wenzake alipata wapi ujasiri wa kulipia ndege na kuipanda, akafika salama na bado akapata nafasi ya kukosoa huduma.

Kwenye kampeni wabunge wa CHADEMA pamoja na mgombea wao wa urais, Tundu Lissu bado wanawahadaa wananchi kwamba hakuna kinachofanyika na juzi wamekuwa wa kwanza kupita barabara ya juu iliyofunguliwa hili wakakosoe ujenzi.

Kusema kweli kama Lissu ataendelea na kauli za namna hii, kupinga kila kilichofanywa na Rais Magufuli basi atafute kazi nyingine hata uanasheria haumfai maana kutetea watu inakuhitaji kwanza kutambua umuhimu wao.

Najiuliza sana kama Magufuli asingemvimbia kirusi Corona, Lissu angeingiaje nchini. Hilo peke yake linatosha kabisa kumfanya Lissu amshukuru Magufuli. Najua angeendelea kurukaruka nchi tofauti akiichafua serikali yetu, taifa letu na rais wetu. Baada ya uchafu wote ulioueneza, kulipaka matope taifa letu na kuwafanya watanzani wote tuonekane wabaya, unataka kuwa rais wetu!!!!

Pamoja kwamba Tanzania ni huru na kila mwananchi ana uhuru wa kuongea chochote anachojisikia, tuwe na aibu na tumuogope Mungu hasa unapojua ukweli na bado ukakasa mishipa ya shingo kusema uongo.
Sioni tofauti yako wewe na Lissu. Maana wakati Lissu anapinga kila kitu kilichofanywa na Mh. Rais nawewe umeamua kusifia kila kitu.

Kwahiyo nyie wote mnafanana.
 
Dhana mbaya kuliko zote ni kuona mambo mazuri aliyoyafanya mtu, ukajitia upofu na kuwaamnisha watu wengine kwamba hakuna kinachoonekana.

Mbunge wa Bunda Esther Bulaya aliwahi kulalamikia huduma mbaya ya Air Tanzania alipoipanda kutoka Mwanza mpaka Dar Es Salaam. Hapa kinachoshangaza sio ubovu wa huduma, ni mtu aliyepinga ununuzi wa ndege pamoja na wenzake alipata wapi ujasiri wa kulipia ndege na kuipanda, akafika salama na bado akapata nafasi ya kukosoa huduma.

Kwenye kampeni wabunge wa CHADEMA pamoja na mgombea wao wa urais, Tundu Lissu bado wanawahadaa wananchi kwamba hakuna kinachofanyika na juzi wamekuwa wa kwanza kupita barabara ya juu iliyofunguliwa hili wakakosoe ujenzi.

Kusema kweli kama Lissu ataendelea na kauli za namna hii, kupinga kila kilichofanywa na Rais Magufuli basi atafute kazi nyingine hata uanasheria haumfai maana kutetea watu inakuhitaji kwanza kutambua umuhimu wao.

Najiuliza sana kama Magufuli asingemvimbia kirusi Corona, Lissu angeingiaje nchini. Hilo peke yake linatosha kabisa kumfanya Lissu amshukuru Magufuli. Najua angeendelea kurukaruka nchi tofauti akiichafua serikali yetu, taifa letu na rais wetu. Baada ya uchafu wote ulioueneza, kulipaka matope taifa letu na kuwafanya watanzani wote tuonekane wabaya, unataka kuwa rais wetu!!!!

Pamoja kwamba Tanzania ni huru na kila mwananchi ana uhuru wa kuongea chochote anachojisikia, tuwe na aibu na tumuogope Mungu hasa unapojua ukweli na bado ukakasa mishipa ya shingo kusema uongo.
Kwamsingi huo yupo tayari kusema Tanzania siyo baba yangu Wala mama yangu... Akapimwe akili
 
Dhana mbaya kuliko zote ni kuona mambo mazuri aliyoyafanya mtu, ukajitia upofu na kuwaamnisha watu wengine kwamba hakuna kinachoonekana.

Mbunge wa Bunda Esther Bulaya aliwahi kulalamikia huduma mbaya ya Air Tanzania alipoipanda kutoka Mwanza mpaka Dar Es Salaam. Hapa kinachoshangaza sio ubovu wa huduma, ni mtu aliyepinga ununuzi wa ndege pamoja na wenzake alipata wapi ujasiri wa kulipia ndege na kuipanda, akafika salama na bado akapata nafasi ya kukosoa huduma.

Kwenye kampeni wabunge wa CHADEMA pamoja na mgombea wao wa urais, Tundu Lissu bado wanawahadaa wananchi kwamba hakuna kinachofanyika na juzi wamekuwa wa kwanza kupita barabara ya juu iliyofunguliwa hili wakakosoe ujenzi.

Kusema kweli kama Lissu ataendelea na kauli za namna hii, kupinga kila kilichofanywa na Rais Magufuli basi atafute kazi nyingine hata uanasheria haumfai maana kutetea watu inakuhitaji kwanza kutambua umuhimu wao.

Najiuliza sana kama Magufuli asingemvimbia kirusi Corona, Lissu angeingiaje nchini. Hilo peke yake linatosha kabisa kumfanya Lissu amshukuru Magufuli. Najua angeendelea kurukaruka nchi tofauti akiichafua serikali yetu, taifa letu na rais wetu. Baada ya uchafu wote ulioueneza, kulipaka matope taifa letu na kuwafanya watanzani wote tuonekane wabaya, unataka kuwa rais wetu!!!!

Pamoja kwamba Tanzania ni huru na kila mwananchi ana uhuru wa kuongea chochote anachojisikia, tuwe na aibu na tumuogope Mungu hasa unapojua ukweli na bado ukakasa mishipa ya shingo kusema uongo.
Hicho kiumbe lissu kinapaswa kudharauliwa kutoka pande zote nne.Unajua shetani anaweza kuwajia wanaadamu kwa njia nyingi na saa nyingine anawajia kama binaaadam.Unaweza kukuta huyu siyo Lissu bali amaletwa kama Lissu ili kuiangamiza nchi.labda Lissu mwenyewe ambaye mtanzania yupo mahali na anaitakia heri na amani nch yake.
 
Back
Top Bottom