Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Tulipokuwa darasa la Kwanza..
Mara nyingi tukitoka shuleni muda wa saa tano kurudi nyumbani Ngumi njiani zilikuwa kama JADI.
Sasa ukiona mwenzako wakati wa kupigana anakimbilia kubeba MAWE au Kukuuma kwa meno ujuwe TAYARI..hivyo hivyo hata kwenye SIASA falsafavitendo kama hizi ZIPO
Mara nyingi tukitoka shuleni muda wa saa tano kurudi nyumbani Ngumi njiani zilikuwa kama JADI.
Sasa ukiona mwenzako wakati wa kupigana anakimbilia kubeba MAWE au Kukuuma kwa meno ujuwe TAYARI..hivyo hivyo hata kwenye SIASA falsafavitendo kama hizi ZIPO