NSHOMA FRANCOUS
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 698
- 325
TCRA wapo?subiriniPamoja na kampeni, mdahalo wake na iternational figures akiwemo HE, the President of the Republic of Ghana, Nana Akufo-Addo ni tukio muhimu la kihistoria linalosubiriwa kwa shauku kubwa jioni ya leo. Hii ni hatua muhimu sana kuelea "Make Tanzania Great Again" kama enzi za Mwalimu na sio blah blah za MATAGA yasiyo hata na vision.
Hii ni saa ngapi mkuu na kituo gani kitaonesha?Pamoja na kampeni, mdahalo wake na iternational figures akiwemo HE, the President of the Republic of Ghana, Nana Akufo-Addo ni tukio muhimu la kihistoria linalosubiriwa kwa shauku kubwa jioni ya leo. Hii ni hatua muhimu sana kuelea "Make Tanzania Great Again" kama enzi za Mwalimu na sio blah blah za MATAGA yasiyo hata na vision.
... rejea huu uzi Mkuu: Mdahalo mkubwa Kimataifa wa Tundu Lissu na rais wa Ghana Nana Akufo-Addo...Hii ni saa ngapi mkuu na kituo gani kitaonesha?
Watu watapata BS sasa...!!!Hii ni leo
View attachment 1580060
Viwanja vya sifa vpo mtaa gani apa Mwanza?. Magufuli kupta Tabora Singida nisawa ila Lissu ndio tatzo eee?Tulia tu ndugu yangu elfu2015 Sasa Kanda yaziwa ndio tulimuokoa ila Sasa hakuna namna tutamnyoosha tu.acha tuzd pewa sera.....ondoa wivu maana nao niuchaw piaRepetition tayari kaishiwa juzi tu hapa Lisu alikuwa hapo hapo mwanza mjiini viwanja vya Sifa naona na Leo karudi wastage of money sehemu moja kurudi Mara mbili wakati kuna sehemu hajagusa kabisa!!
Chadema kulikoni?
Duu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]28/10/2020 mapema kabisa saa 10 alfajiri, nitakwenda kupanga foleni kusubiria OFISI zifunguliwe, nipige kura, ili nimpangie kazi nyingine mwajiriwa wa 2015.
Amezoea kupangua na kuwaambia wenzake kwa makaratasi ya press release kuwa atapangiwa kazi nyingine na kuwatukana mbele ya camera zijulikanazo kama mubashara.
Mwaka huu kura yangu Ni ya kumpangia kazi nyingine mbele ya chemba ya peke yangu, kisha barua yangu ya kumfuta kazi naidumbukiza kwenye sanduku la kura.
TUNAMFANYIA - CATEGORIZATION 🙂 🙂 🙂 🙂28/10/2020 Ni siku ya kumpangia kazi nyingine tuliyemwajiri kwenye OFISI nyeti ya umma mwaka 2015.
Na kama mwajiri, nafikiria kumpa kazi ya kuchunga mbuzi kwenye kiwanja Cha ndege kile kilichopo kijijini kwake.
Mkuu umetisha, kuna kipindi ulikuwa fan mkubwa wa kijani...Ila naona umeamua kumpangia kazi nyingine, kila la kheri.28/10/2020 mapema kabisa saa 10 alfajiri, nitakwenda kupanga foleni kusubiria OFISI zifunguliwe, nipige kura, ili nimpangie kazi nyingine mwajiriwa wa 2015.
Amezoea kupangua na kuwaambia wenzake kwa makaratasi ya press release kuwa atapangiwa kazi nyingine na kuwatukana mbele ya camera zijulikanazo kama mubashara.
Mwaka huu kura yangu Ni ya kumpangia kazi nyingine mbele ya chemba ya peke yangu, kisha barua yangu ya kumfuta kazi naidumbukiza kwenye sanduku la kura.
Kwa nondo nilizosikia mkutanoni Jana, nimeamua kumfuta kazi rasmi mwaka 2020.Mkuu umetisha, kuna kipindi ilikuwa fan mkubwa wa kijani...Ila naona umeamua kumpangia kazi nyingine, kila la kheri.
Mimi pia28/10/2020 mapema kabisa saa 10 alfajiri, nitakwenda kupanga foleni kusubiria OFISI zifunguliwe, nipige kura, ili nimpangie kazi nyingine mwajiriwa wa 2015.
Amezoea kupangua na kuwaambia wenzake kwa makaratasi ya press release kuwa atapangiwa kazi nyingine na kuwatukana mbele ya camera zijulikanazo kama mubashara.
Mwaka huu kura yangu Ni ya kumpangia kazi nyingine mbele ya chemba ya peke yangu, kisha barua yangu ya kumfuta kazi naidumbukiza kwenye sanduku la kura.
Duh!28/10/2020 mapema kabisa saa 10 alfajiri, nitakwenda kupanga foleni kusubiria OFISI zifunguliwe, nipige kura, ili nimpangie kazi nyingine mwajiriwa wa 2015.
Amezoea kupangua na kuwaambia wenzake kwa makaratasi ya press release kuwa atapangiwa kazi nyingine na kuwatukana mbele ya camera zijulikanazo kama mubashara.
Mwaka huu kura yangu Ni ya kumpangia kazi nyingine mbele ya chemba ya peke yangu, kisha barua yangu ya kumfuta kazi naidumbukiza kwenye sanduku la kura.
JIWE lazma arudie kampeni MWANZA, yaani yeye alikuwa anakusanya "ngombe kwa malori" wilaya zote, Lissu yeye watu kwa nauli zao wanamfuata.
Amekuja kuja kujaribu Tena,ngoja akazomewe😂Kazidiwa tayari Mwanza mjini kakabwa koo alikuwepo hapo anarudi tena.keshaishiwa majimbo ya kutembelea pumzi imekata alikuwa viwanja vya furahisha juzi tu
Unapowashwa utakunwa tu wewe, " Ratiba za wagombea wote zipo NEC" na zinafuatwa kuepusha mgongano baina ya vyama .Mgeni ukipewa makaribisho mazuri usipazoee pa mwenyeji kila siku hodi haifai
Lisu alikaribishwa vizuri sana na wana mwanza mjini alipoenda hapo mjini viwanja vya furahisha vikivyoko mwanza mjini sasa naona imekuwa nongwa Huyo anapiga hodi tena anarudi mwanza mjini
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen!!Mungu ambariki, kumlinda na kumuepusha na mabaya yote mja wake Tundu Antiphas Lissu kwa Jina Lake Yesu Kristo!
Amuepushe na mabaya na wabaya wote kwa Jina Lake Yesu Kristo