Utakuwa unaishi Nandiende wewe acha upuuzi wako.Hili ni jambo la kushangaza sana, kwa hali ya kawaida watu wenye sapoti kubwa na wanaotaka kufanya Mapinduzi huwa wanapata media coverage kubwa sana, na hii ni Dunia nzima.
Sasa huyu wa hapa Bongo anayetishia kila siku kuiondoa Serikali ya CCM kwa nguvu kama asipotangazwa mshindi hakuna hata anayeripoti habari zake achilia mbali hata kama anagombea Uraisi, hata hapo Kenya tu hawamuandiki tofauti na Lowassa au hata Slaa, sijasikia hata DW-Kiswahili, VOA-Kiswahili hata tu wakimuhoji, sasa kwa nini?
Je, anajidanganya, labda anaishi kwenye Dunia yake tu ambayo kiuhalisia haipo?
Uongo ni mwingi mno wameshamgundua wanaogopa kuporomoka kwa image ya vyombo vyao.Hili ni jambo la kushangaza sana, kwa hali ya kawaida watu wenye sapoti kubwa na wanaotaka kufanya Mapinduzi huwa wanapata media coverage kubwa sana, na hii ni Dunia nzima...
Lisu ni jeshi LA mtu mmoja,kwa hyo utengue kauli ya kuwa ametumwa na mabeberu,so unaona hakuma beberu anae report kampeni zake,Kulee alienda kwa ajili ya matibabu baada ya wewe na bashite kumshambulia kinyamaHili ni jambo la kushangaza sana, kwa hali ya kawaida watu wenye sapoti kubwa na wanaotaka kufanya Mapinduzi huwa wanapata media coverage kubwa sana, na hii ni Dunia nzima.
Sasa huyu wa hapa Bongo anayetishia kila siku kuiondoa Serikali ya CCM kwa nguvu kama asipotangazwa mshindi hakuna hata anayeripoti habari zake achilia mbali hata kama anagombea Uraisi, hata hapo Kenya tu hawamuandiki tofauti na Lowassa au hata Slaa, sijasikia hata DW-Kiswahili, VOA-Kiswahili hata tu wakimuhoji, sasa kwa nini?
Je, anajidanganya, labda anaishi kwenye Dunia yake tu ambayo kiuhalisia haipo?
Mbona huwa ,,Wanamapinduzi'' wengine huwa kutwa wanapewa coverage, na ni Dunia nzima, kwa nini wa kwenu anapotezewa?
Uongo ni mwingi mno wameshamgundua wanaogopa kuporomoka kwa image ya vyombo vyao.
International media Ku cover mtu credibility na reliability ya anachosema ni muhimu mno...
Hakuja kuongeza idadi Bali amekuja kwa hiari ,Ana amani ya moyo wake nafuraha kabisa.Hajakokotwa huyo
Wazee ni wakweli kama alivyo mama MariaHajakokotwa huyo
Wewe ni miongoni mwa wana ccm nilikuwa na assume unaakili japo kidogo, na unaweza kuwa miongoni mwa wale wanaopenda kuona haki ikitendeka. Kumbe nilikuwa nakosea, uko tu kama wana ccm wengine ambao wako tayari kuua ili waende ikulu Ingawa hawajashinda .Ndoto za alinacha
Shida ni nini arifu?Miongoni mwa wana ccm nilikuwa na assume unaakili japo kidogo, na unaweza kuwa miongoni mwa wale wanaopenda kuona haki ikitendeka. Kumbe nilikuwa nakosea, uko tu kama wana ccm wengine ambao wako tayari kuua ili waende ikulu Ingawa hawajashinda .
Pole sana Jingalao.
Wakati ukutaNguvu ya umma unatumia ID fake? Huku ni mfanyakazi wa halmashauri?