Utakuwa unaishi Nandiende wewe acha upuuzi wako.
 
Hili ni jambo la kushangaza sana, kwa hali ya kawaida watu wenye sapoti kubwa na wanaotaka kufanya Mapinduzi huwa wanapata media coverage kubwa sana, na hii ni Dunia nzima...
Uongo ni mwingi mno wameshamgundua wanaogopa kuporomoka kwa image ya vyombo vyao.
 
Lisu ni jeshi LA mtu mmoja,kwa hyo utengue kauli ya kuwa ametumwa na mabeberu,so unaona hakuma beberu anae report kampeni zake,Kulee alienda kwa ajili ya matibabu baada ya wewe na bashite kumshambulia kinyama
 
Mbona huwa ,,Wanamapinduzi'' wengine huwa kutwa wanapewa coverage, na ni Dunia nzima, kwa nini wa kwenu anapotezewa?

Haujashangaa hata Aina ya maswali ambayo pole pole anaulizwa kwenye press zake anazofanya?
 
Mkuu kwani hujui kwamba page ya Twitter ya Amsterdam ni sawa na CNN na BBC??
 
International media Ku cover mtu credibility na reliability ya anachosema ni muhimu mno...

Hahaha watanzania ni kama tumerogwa
Ndio maana polo pole kasema tujinenee kuwa sie ni matajiri na ni doner country because mdomo unaumba

So na ww hapo ulipo Anza kujinenea kuwa ww ni bilionea na utakuwa bilionea kweli hahahaa
 
What I know for sure is , this october i’m voting for TUNDU LISSUu for so many reasons. but the biggest of all is that i don’t want to see some insecure, paranoid man in the highest office in the country who cares very little about laws and constitution. i also ask you to vote for TUNDU LISSU.

Babymama cariha , pls join me
 
Wewe ni kijana, pengine ni msomi na huna ajira wala mtaji. Mtumishi unanyanyaswa na cheo au nyongeza ya mshahara hupati miaka 4 sasa.

Mfanyabiashara unakomeshwa na makodi na faini za kubambikwa hadi biashara imeyumba au kufungwa. Mkulima unalima mwenyewe lakini kuuza unapangiwa uuze kwa nani na ukibisha wanajeshi watatumwa kuja kukupora.

Miaka 4 huyaoni na umeshindwa kuelewa. Lakini bibi huyu ambaye hawezi kufanya hayo hapo juu yeye kaelewa.

 
CCM habari yao imekwisha, Tundu mtu mmoja kishawachana vipande vipande kwenye kona zote za nchi.
Mbinu walio bakiza ni ile ilyo zoeleka ya kutaka kutumia wakurugenzi na vyombo vya dola. Na Safari hii wananchi wanasema Kama haki haita tendeka kwa lengo la kuminya maamuzi yao itatumika nguvu ya umma , na hii ndio njia pekee inayo tumika duniani kote kudai haki.
Ni kwa Mara ya Kwanza wadhalimu wa nchi hii watapambana na nguvu ya umma.
 
Nguvu ya umma unatumia ID fake? Huku ni mfanyakazi wa halmashauri?

Nguvu ya umma nani ataongoza wakati wewe mwenyewe umejificha?

Unamdanganya nani?

Hao wafagia barabara wameanza tangu 1995
 
Shida ni nini arifu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…