Watanzania watachagua raisi ila siyo huyoo jamaa yenu. Wee fuatilia comed zake tu hasa akiwa anahutubia, halafu niambie kama kweli unaweza dhani ni mgombea uraisi. Yaanii kiufupi hakuna mwenye akili timamu atamchagua.
Wenye akili nyingi ndiyo wamesha fanya uamuzi wa kumchagua mh Lissu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We unawajua?
 
Nimeandikisha wapiga kura novemba mwaka Jana 90% ya waliojiandikisha walikua miaka17 wanaotimiza 18 mwaka huu Hadi 21 wengine walikua na 16 wanaomba nao waongezewe mmoja ili waandkishwe kwa hiyo msijidanganye hao wote wanaohudhuria mikutano ya Lissu kwa asilimia kubwa wamejiandikisha
 
Watanzania watachagua raisi ila siyo huyoo jamaa yenu. Wee fuatilia comed zake tu hasa akiwa anahutubia, halafu niambie kama kweli unaweza dhani ni mgombea uraisi. Yaanii kiufupi hakuna mwenye akili timamu atamchagua.
Mkuu muda ni rafiki mzuri sana. Let's wait and observe nini kitakachojiri.
 
Tafadhali sana sana tufahamishwe shujaa huyu atakuwa wapi leo. October imewadia tunafuta vumbi kadi zetu za kupiga kura tayari kutumia demokrasia yetu kwa namna ambayo haijapata kuonekana tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…