Tukubaliane kutokubaliana, ndiyo demokrasia yenyewe na huo ni mtazamo wangu.
Kwako wewe Rais awe na sifa gani? Kama za Mwinyi, Kikwete na Magufuli? Siyo?
Wana tofauti gani na Lisu? Lisu ameku-inspire wewe ukampenda huyo siyo leader kweli.

Au huyo anayejenga Bloody Flyovers, Bloody Dams etc etc Like Bloody Diamonds? Maendeleo ya damu!!
 
Mkuu bado nasimama na msimamo wangu ule ule. Tukubaliane kutokubaliana.
 
Sio Lisu tu.yeyeto mwenye kuahidi kuwaletea ukombozi watz angependwa
 
Kanda ziwa ndo ilikuwa ngome ya magufuli lkin Sasa hivi ndo ameshika TL Sasa ukija nyanda za juu kusini atapiga haya hapo anakuja kaskazini anapga amebakza Kanda ya Kati ambapo lazima watagawana Sasa zinabaki Kanda kuu tatu ambazo Nini magharibi,na Kanda za akina Dar,pwani huko pia wanagawana Sasa mziki unabaki zenji ko CCM na CDM wote mjiandae kisaikilojia lolote linaweza likatokea Hyo tarehe 28
 
My Lissu Sasa umefika wakati wa kuomba kura kwa

WanaCCM
Wanajeshi
Polisi
Magereza
Mgambo
Waandishi
Wafanyakazi wengine
Wakulima
Wafanyabiashara
Wasanii
Wanachama wa vyama na vikundi mbalimbali n.k

Maana yangu ,Sasa omba kura kwa hata watesi wako. Watu wanakuelewa Sana.

Kati ya watesi wako 10 Sita watakuchagua kwa maana hata na wao wanasulubika.
 
Mwanaharakati maana yake nini? Na Rais nini au ume kariri?
Mkuu, siko hapa kufundishana wala kupingana na mawazo yako. Nakubaliana na mtazamo wako na mimi nina mtazamo wangu. Ndiyo demokrasia ya kukubali kukutokubaliana.
 
Huyo mlinzi ukimchezea. Utabakiza kiuno chin
 
Invalid thread
 
Kila Mtanzania mpenda Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu atakubaliana nami kuwa Ushindi ujao katika uchaguzi mkuu hautakuwa wa Lissu binafsi Bali wa hao nilio wataja.

Kwa maana hiyo, NEC, Polisi au Returning officers yeyote atakaye hujumu uchaguzi huu atakuwa sio anamtendea Lissu uharamia Bali mamilioni ya wenye nchi yao ambao ni Watanzania wapenda Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu.

Je, hawaogopi nguvu ya umma huu na matokeo yake ambayo yametajwa kisheria?
 
Anapendwa na vilaza wa ufipa

Ww unaishi ili ule, ila fahamu kinachotokea kwa Lisu ni mahitaji ya nyakati. Ccm sio chama cha kizazi hiki. Hata muibe kura na kufanya figisu mtakavyo, bado ccm haitapata uungwaji mkono wa halali. Na uchaguzi huu muendelee kuomba ukondoo a.k.a amani uendelee, kinyume na hapo lazima katiba mpya itapatikana tukiwa nje ya Uzio wa maelewano.
 
Lissu alisema leo angekua JF kujibu maswali lakini naona kaingia mitini. Ha ha ha ha haa . kaogopa maswali magumu
Bora hata alivyokimbia maana maswali yangekuwa magumu kwake kuyajibu, hii nchi ni mali ya Watanzania hakuna siku tutakubali kuiuza kwa wasioitakia mema.

October 28th kura zote kwa JPM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…