Dar mngezindua Jumamosi au Jumapili. Alafu mbona kama mmeshtukiza? Hakuna matangazo wala shamrashamraa
 
Kumeeekucha kumeeekuuchaaa
 
Hiyo ratiba imelenga kumsaidia Halima Mdee Tanganyika Packers na John Mrema Tabata temeke wanaenda tu kukamilisha ratiba waislamu wasione wamewabagua kwenye uzinduzi

Wagombea wengine majimbo mengine ya Chadema mtajijua
Maskini unatia huruma sasa unalia au unaongea na mbaaadooo
 
Ccm wakianzisha chokochoko za aina yoyote tutazijibu kwa nguvu ile ile iliyotumika kuzianzisha.
Wakimuua Akwilina mmoja wa chadema, na wao wajiandae kumpoteza Akwilina wao mmoja.
Eneo la Teneke huwa na Nuksi anguko la Chadema lilianzia temeke walitaja mafisadi Papa Mwembe yanga Temeke wakamtaja Lowasa .Lisu ndie aliandaa List ike Baada ya pale Lowasa aliingia akaichukua Chadema akaiua kisiasa kwa kushindwa uchaguzi na Slaa alitimka Na Lisu anapumulia mashine ya kisiasa
Hawakutakiwa kuzindukia kampeni eneo lenye nuksi Kwao Kama Hilo Hakuna wa kuwagusa ila wataondoka na Nuksi kwenda kote na Chadema haitakuwa ike ilivyokuwa mark my words
 
Mungu ni mwema sana, ngoja nijiandae kwenda kusikiliza habari njema za ukombozi toka kwa wakili msomi mzalendo wa kweli. Habari kile kibabu fulani za mfenesi na mapapai ya korona wazipeleke kwa Mataga huko.

Mkuu, siku nyingine ukiniquote tafadhali sana usiniunganishe na huyo 'delicious' Elitwege kwenye aya moja... nakuheshimu sana mlamu.
 
Vp huko Zakhem mbagala jaman mbona kimya
Mimi Niko kimara Kuna mtu kaingia mitini na hela za Basi walilokodi liwapeleke chadema wa huku kwenda mbagala mkutanoni anapigiwa simu hapokei kazima
 
Mimi Niko kimara Kuna mtu kaingia mitini na hela za Basi walilokodi liwapeleke chadema wa huku kwenda mbagala mkutanoni anapigiwa simu hapokei kazima
Hawa ndio wale wajinga wanatakiwaga kumalizwa kama wezi wa kuku
 
Hawa ndio wale wajinga wanatakiwaga kumalizwa kama wezi wa kuku
Nimecheka mbavu Sina wanapiga kelele kuwa huyo aliyekimbia na pesa za kukodi basi kupeleleka wanachama mbagala kanunuliwa na CCM!! Wakati mijitu mingine Ni mitapeli tu iwe CCM au Chadema
 
Tukiacha ushabiki tuangalie uharisia Lissu ananguvu na ushawishi mkubwa Sana kisiasa toka amefika siasa ya Tanzania imechangamka na kuongeza mvuto, sipati picha Media zingepewa Uhuru wao Mambo yangezid kuwa moto... Binafsi mm sio shabiki wa siasa Ila uwa nikiskia kuhusu Lissu mwili unasisimka, nawatakia kila la kheri kwenye harakati zake
 
Mpaka sasa mambo ni moto wasubiri waione shoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…