Lete ilani bwasheerubbish
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete ilani bwasheerubbish
Tupa jalalani kabisarubbish
Mwanahabari Huru please take note of this. Tengeneza documentary ya video ya haya yaliyotajwa humu, iweke kwenye screens wakati wa kampeni watu wajikumbshe maumivu waliyoyapata. This will make a lot of sense! Mabango, etc etc kama yalivyotajwa humu.Pamoja upinzani uhakikishe watanzania wanautazama uchaguzi huu kama referendum Kwa yanayoendelea ikiwezekana watengeneze matangazo ya TV na redio yanayo highlight matukio, vilio vya wakazi wa kimara, wa tetemeko, kauli zisizo za kiuongozi, wahanga wa wasiojulikana, vyombo vya habari na waandishi walioisoma namba, uvunjwaji wa sheria na katiba, utungwaji wa sheria mbovu na mengine...
siamini ya kwamba wameshindwa kujaza form kwa usahihi hili haliingii akiliniSasa mkuu unamrudishaje mgombea ambae hawezi kujaza hata fomu?
CHADEMA chukueni aid hiiPamoja upinzani uhakikishe watanzania wanautazama uchaguzi huu kama referendum Kwa yanayoendelea ikiwezekana watengeneze matangazo ya TV na redio yanayo highlight matukio, vilio vya wakazi wa kimara, wa tetemeko, kauli zisizo za kiuongozi, wahanga wa wasiojulikana, vyombo vya habari na waandishi walioisoma namba, uvunjwaji wa sheria na katiba, utungwaji wa sheria mbovu na mengine...
Simaanishi ya kwamba nitaenda kwenye mikutano ya ccm nope sidhani kama hata kura kama nitapigaWe kaangalie mauno
Ova
Usikubali kuyumbishwa, wafungue watu akili wajue haki zao, wanavyoonewa, wanavyoteswa na utawala huu, then baadaye mwaga sera za CDM, ilani ya uchaguzi.
Unaanza na somo la watu kujua wanavyoonewa, wanavyouawa, wanavyoteswa, na madhira yote yanayowapata under this regime, 40 minutes, then muda unaobaki mwaga sera, ilani, wape watu matumaini ya kweli na watakavyoyapata kihalisia etc.
CDM wana uhuru mkubwa ndani ya chama kuliko ilivyo ccm ambako yule bwana ameiweka mfuko wa nyuma wa suruali yake.Katika uchaguzi mkuu huu Chadema wanajinadi kwa kaulimbiu ya Uhuru wa watu, Haki za watu na Maendeleo ya watu.
Nauliza tu, hivi vitu vimo ndani ya Chadema?
Kwa mfano wanachadema wako huru ndani ya chama chao?....Je wana haki sawa mfano uteuzi mgombea ubunge jimbo la Segerea haki ilitendeka? Nk...nk
Maendeleo hayana vyama!
Katika uchaguzi mkuu huu Chadema wanajinadi kwa kaulimbiu ya Uhuru wa watu, Haki za watu na Maendeleo ya watu.
Nauliza tu, hivi vitu vimo ndani ya Chadema?
Kwa mfano wanachadema wako huru ndani ya chama chao?....Je wana haki sawa mfano uteuzi mgombea ubunge jimbo la Segerea haki ilitendeka? Nk...nk
Maendeleo hayana vyama!
Sasa dadangu ,Ndio maana mlichapisha fomu moja ya kugombea urais ndani ya chama. Kuna mambo unaeza kuyasemea hasa yako na mke wako lkn ww cyo chadema si lolote si chochote.ila dadangu wewe ni mbea san.jukwaa la udaku linakufaa.Katika uchaguzi mkuu huu Chadema wanajinadi kwa kaulimbiu ya Uhuru wa watu, Haki za watu na Maendeleo ya watu.
Nauliza tu, hivi vitu vimo ndani ya Chadema?
Kwa mfano wanachadema wako huru ndani ya chama chao?....Je wana haki sawa mfano uteuzi mgombea ubunge jimbo la Segerea haki ilitendeka? Nk...nk
Maendeleo hayana vyama!
Bwashee sera na uongozi huanzia ndani ya familia!Bwashee huko tutaongelea maslahi ya wanachama
Hapa tunaongelea mambo yanayogusa wananchi ambayo utekelezaji wake inabidi uwe umeshika madaraka.
Kwa ufupi jibu ni hapana, kwa sababu wigo pekee wa kutekeleza hayo ni ukiwa madarakani.