Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu ni raisi wa mitandaoni, Lissu akigonga 30% ya kura zote nitaharisha mafungu mafungu mpak ikulu ,
Halafu wakimaliza hapo wanaitishia NEC kumtangaza Lisu Kama mshindi na
Kututishia sisi wapiga kura wapo tayari kumwaga damu Lisu asipotangazwa mshindi.
Wapuuzi wataponda kwakuwa hawajui nini maana ya ulichokiandikaNaomba Rais wetu mtarajiwa aongezewe ulinzi
Ni kwa Amani ya nchi
Siro na wengine mnaohusika na usalama wa watanzania naomba mpeni ulinzi wa kutosha Mgombea wa Chadema.
Kwanini mkuuNaomba Rais wetu mtarajiwa aongezewe ulinzi
Ni kwa Amani ya nchi
Siro na wengine mnaohusika na usalama wa watanzania naomba mpeni ulinzi wa kutosha Mgombea wa Chadema.
Naomba Rais wetu mtarajiwa aongezewe ulinzi
Ni kwa Amani ya nchi
Siro na wengine mnaohusika na usalama wa watanzania naomba mpeni ulinzi wa kutosha Mgombea wa Chadema.
Ulizinzi wa nn wakati hali sio .hawezi kuwa rais nani tamlinda