Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Ajitahidi amfikie ana mgwira

Lissu hataamini macho yake atakavyochakazwa
Anavyojigamba kwa bashasha utadhani kashatawazwa vile. Uchaguzi wa mwaka huu, utawashangaza wana saccos wote. Kijani tupu kuanzia udiwani mpaka Urais.
 
Lisu atavunja rekodi chadema kwa kuwa mgombea uraisi aliyepata kura chache kuliko mgombea uraisi yeyote wa Chadema toka Chadema ianzishwe

Nasikitika sana maana kuna mtu alibeba huu uchafu miezi 9
 
Public welfare without any strategies to raise the government revenue! Wishfull thinking. If wishes were horses, beggars would ride.

Mwadanganye watoto wa chekechea.

Kwa taarifa tu, wagombea wa Ubunge na Udiwani wanapangua VIOJA vya Lissu kwa kwa kutumia Ilani ya uchaguzi iliyo sheheni maendeleo ya juzi, jana, kesho na yajayo. Hivyo basi, aibu watakayoipata viongozi wa CHADEMA hawataamini zaidi ya kudai wameibiwa kura.
[/QUOT
"Wishfull thinking if wishes were horses" TL hakukosea kuzungumzia mfumo wetu wa elimu na unaweza kuta aliyeandika hv ni Phd holder.
 
Wanasheria wasomi kutoka ccm wapo wa kutosha sana,mfano... Andrew Chenge,kila aina mpya ya wizi kwenye nchi hii yupo,tena kuna yule Tumbili alimwita mwizi akataka kumuua mnamjua mwenyewe wakati wa kashfa ya ESCROW akaunt,hivi na huyu aliyeokolewa Jalalani naye si ni profesa wa sheria?
Mnikumbushe ndugu zangu wa ccm....bado kuna huyu wa sasa bwana Kilangi naye yumo na sheria zake za ki Jiwe Jiwe....
Kamanda!!!
Hao wote usomi wao hauoni ndani kwa Lisu.
Wala hawaijui MIGA kama Lisu
Na bahati yao wale maprofesa wa Barrick walimkuta Prof aliyeokotwa jalalani kwenye Negotiation table.
Wangemkuta "MSOMI" wetu Lisu Tanzania tungekuwa tunadaiwa mabilioni hadi leo.
 
Juzi kati heshimiwa lissu baada ya kuzindua kampeni kwenye kanda kumi, tuliambiwa kwamba angeanza kutumia Helkopta kwenye kampeni za kata namajimbo.
baadae zikaja taarifa kwamba mamlaka ya anga wamekataa kutoa kibali cha kurusha chopa hiyo japo wenyewe walikuja kukanusha. Leo ni siku ya tatu kama si ya nne, hamna taarifa yoyote.
Viongozi wangu wa chama mnakwama wapi? Kwa ukubwa wa hii nchi ingekuwa vizuri kama mheshimiwa rais mtarajiwa angetumia huu usafiri maana unamrahisishia kufika maeneo mengi kwa muda mfupi.

Cc Salary Slip

Huku anatembeza bakuli, huku anatumia ruzuku vibaya. Akiopewa nchi je, si ndiyo atatumia Boeing kutemelea wilaya za Dodoma. Ufujaji unaonekana mapema. Hakuna anayepapatika na Chopper siku hizi. Hayo yalikuwa zamani.
 
While ccm and his dictator chairman invested heavily on killing chadema, in fact the part is in the hearts of all tanzanians....

Tanzania for Tundu Lissu 2020
The bussness went into huge losses.
 
Public welfare without any strategies to raise the government revenue! Wishfull thinking. If wishes were horses, beggars would ride.

Mwadanganye watoto wa chekechea.

Kwa taarifa tu, wagombea wa Ubunge na Udiwani wanapangua VIOJA vya Lissu kwa kwa kutumia Ilani ya uchaguzi iliyo sheheni maendeleo ya juzi, jana, kesho na yajayo. Hivyo basi, aibu watakayoipata viongozi wa CHADEMA hawataamini zaidi ya kudai wameibiwa kura.
Wakoloni hamuachi
 
Hahahaàaaaaaaa walamba miguu ya mabeberu sheeda, andikeni kiswahili tu.Magu ni shughuli tofauti, kushindana naye si kaxi rahisi, amewAchia siku mbili tu mnajihisi ni unstoppable.Hahaha kesho chuma kinarudi kuuza sera, huku walalamikaji wakijiita unstoppable. Stay tuned
Yeye aliachiwa miaka 5 anachokiona haamini now
 
Katika watu wenye vipaji na fani zao hapa duniani basi na Tundu Lissu ni mmoja wapo. Watu wengine watasema kwani msomi ni yeye peke yake?! La hasha, msomi si yeye peke yake lakini ana kipaji cha pekee. Ndiyo maana hata kwenye mpira kuna wachezaji wengi lakini kuna Messi na Ronaldo! Hii inapelekea mpaka hao wanaojiita wasomi kumuogopa Lissu.
Ukweli mtupu
 
Kamanda!!!
Hao wote usomi wao hauoni ndani kwa Lisu.
Wala hawaijui MIGA kama Lisu
Na bahati yao wale maprofesa wa Barrick walimkuta Prof aliyeokotwa jalalani kwenye Negotiation table.
Wangemkuta "MSOMI" wetu Lisu Tanzania tungekuwa tunadaiwa mabilioni hadi leo.

..serikali ilisema tunawadai accacia usd 191 billion.

..baada ya mazungumzo serikali ikakubali tulipwe usd 300 million.

..kimahesabu, hiyo ni sawa na kudai umeibiwa usd 636, halafu ukubali kulipwa usd 1.

..sasa kwanini tulikubali kiasi kidogo hivyo kulinganisha na madai ya awali?

.. je, ripoti zilikuwa feki[professorial rubbish]? je, tuliogopa kushitakiwa[ miga ]? je, timu yetu ya negotiation ilikuwa mbovu[jalalani]?

..timu ya negotiation ya Prof.Kabudi, ilijumuisha pia wajumbe wa tume za uchunguzi zilizoundwa na raisi.
 
..serikali ilisema tunawadai accacia usd 191 billion.

..baada ya mazungumzo serikali ikakubali tulipwe usd 300 million.

..kimahesabu, hiyo ni sawa na kudai umeibiwa usd 636, halafu ukubali kulipwa usd 1.

..sasa kwanini tulikubali kiasi kidogo hivyo kulinganisha na madai ya awali?

.. je, ripoti zilikuwa feki[professorial rubbish]? je, tuliogopa kushitakiwa[ miga ]? je, timu yetu ya negotiation ilikuwa mbovu[jalalani]?

..timu ya negotiation ya Prof.Kabudi, ilijumuisha pia wajumbe wa tume za uchunguzi zilizoundwa na raisi.
Una maanisha wasomi jalala wa CCM walipindua hoja ya "MSOMI" wetu mahiri Lisu kuhusu MIGA na kudaiwa mabilioni na kusababisha sie ndo tulipwe?
Haiwezekani kamanda.
Lisu wetu ni msomi saaana! - maprof jalala wa CCM hawawezi kuishinda hoja yake kudaiwa mabilioni.
 
Nimetafakari hali ya kampeni ya chama changu nina mashaka kuwa mwenyekiti wa chama changu ametuhujumu.

Kwa nini amemruhusu mgombea ambae anatukana wapiga kura,mgombea ambae mda wote anaongea kwa jazba na anajikuta anasahau kunadi sera za chama na badala yake ni kusimulia jinsi alivyopigwa risasi na maharamia.

Mwenyekiti wangu aliuza chama mwaka 2015 na chama changu kikaharibika, mwaka huu amefanya hujuma ili tushindwe na kufutika kabisa. Mwenyeki wangu nina mashaka sana na wewe.

Kama kweli ni mwenyekiti wako ungemheshimu kama mwenyekiti.....!
 
Hahaha uvcc a.k.a JESHI LA AKIBA wako kazini.

Walikuwa wanalala huko Lumumba Bashiru akawakurupusha,wajibu hoja sasa wao kila uzi waanandika Magufuli!.
 
Nimetafakari hali ya kampeni ya chama changu nina mashaka kuwa mwenyekiti wa chama changu ametuhujumu.

Kwa nini amemruhusu mgombea ambae anatukana wapiga kura,mgombea ambae mda wote anaongea kwa jazba na anajikuta anasahau kunadi sera za chama na badala yake ni kusimulia jinsi alivyopigwa risasi na maharamia.

Mwenyekiti wangu aliuza chama mwaka 2015 na chama changu kikaharibika, mwaka huu amefanya hujuma ili tushindwe na kufutika kabisa. Mwenyeki wangu nina mashaka sana na wewe.
Hivi Jamani ni nani aliyemuelewa huyu
 
Back
Top Bottom