Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Lissi Ni pasua kichwa kwa kweli,ukisikia watoto wa Mjini ndo Hawa.
Lissu anafanya kampeni kwa njia nyingi mno,na huwezi kujua utamkabili kwa njia ipi.
Njia aliyotumia hivi karibuni Ni moja ya njia watumiazo mawakili wakiwa mahakamani.
Kwanza anakupa mtego wa swali,hoja au maneno,ukijaa anakuweka Kati.
Sasa suala la vitambuliaho vya wamachinga kamtega Jiwe,jiwe kaingia mtegoni,kwa kujibu kuwa,

"vitambuliaho sio lazima."

Tayari Mzee Baba akawa kaingia mtegoni.

Lissu kampa kubwa na kumuingiza Kati,Mzee Baba.
Akamwambia,

"Kama vitambuliaho sio lazima? Futa sheria iliyoviweka"!


Jiwe chali.
Chato hiyooooo, Oct 30
Delete ccm Oct 28
 
Lissi Ni pasua kichwa kwa kweli,ukisikia watoto wa Mjini ndo Hawa.
Lissu anafanya kampeni kwa njia nyingi mno,na huwezi kujua utamkabili kwa njia ipi.
Njia aliyotumia hivi karibuni Ni moja ya njia watumiazo mawakili wakiwa mahakamani.
Kwanza anakupa mtego wa swali,hoja au maneno,ukijaa anakuweka Kati.
Sasa suala la vitambuliaho vya wamachinga kamtega Jiwe,jiwe kaingia mtegoni,kwa kujibu kuwa,

"vitambuliaho sio lazima."

Tayari Mzee Baba akawa kaingia mtegoni.

Lissu kampa kubwa na kumuingiza Kati,Mzee Baba.
Akamwambia,

"Kama vitambuliaho sio lazima? Futa sheria iliyoviweka"!


Jiwe chali.
Chato hiyooooo, Oct 30
🔥🔥🔥anazidi kuonekana kiazi kwa wapiga kura. Usicheze na Lissu.
 
Kata kitambulisho 20000/,=ujichingalize mwaka mzima bure,au uhangaishane na buku dala za mgamo wa jiji deile! Ni uamuzi wako siyo lazima .akili mkichwa.
Hivi unafahamu kuwa siyo wamachinga tu walioathiriwa na hii 20,000=/, bali pia hata wafanyakazi wa umma, bar maids, wafugaji, wakulima na hata wasiofanya shughuli yo yote ya kujiingizia kipato.
 
... kwa maelezo haya vitambulisho ni lazima tofauti na kauli ya kilaghai ya mzee baba.
Lissu kashamwingiza choo cha kike. Hata uwanja wa chato olikuwa hivi hivi. Baada ya kuona Wananchi wanakubaliana na Lissu kuwa uwanja ule hauna maana yoyote kwao.
 
Lissi Ni pasua kichwa kwa kweli,ukisikia watoto wa Mjini ndo Hawa.
Lissu anafanya kampeni kwa njia nyingi mno,na huwezi kujua utamkabili kwa njia ipi.
Njia aliyotumia hivi karibuni Ni moja ya njia watumiazo mawakili wakiwa mahakamani.
Kwanza anakupa mtego wa swali,hoja au maneno,ukijaa anakuweka Kati.
Sasa suala la vitambuliaho vya wamachinga kamtega Jiwe,jiwe kaingia mtegoni,kwa kujibu kuwa,

"vitambuliaho sio lazima."

Tayari Mzee Baba akawa kaingia mtegoni.

Lissu kampa kubwa na kumuingiza Kati,Mzee Baba.
Akamwambia,

"Kama vitambuliaho sio lazima? Futa sheria iliyoviweka"!


Jiwe chali.
Chato hiyooooo, Oct 30
Baada ya oktoba nitafute tukanywe supu
 
Utakuwa una matatizo ya usikivu wewe kuhusu sera za Chadema zinazowekwa hadharani na Lissu the GREATEST hadi KICHAA anaweweseka.

Hakuna Mapenzi yoyote zaidi ya Kutia huruma na Kulalamika kwenye Majukwaa badala ya Kumwaga sera na Kunadi Ilani ya Chama chake cha CDM.
 
Mwaka huu haibiwi kura mtu
Majizi mbinu zao tumeshazibaini
Screenshot_20200918-020320.png
Screenshot_20200918-020239.png
IMG_20200921_164455.jpg
 
Lissi Ni pasua kichwa kwa kweli,ukisikia watoto wa Mjini ndo Hawa.
Lissu anafanya kampeni kwa njia nyingi mno,na huwezi kujua utamkabili kwa njia ipi.
Njia aliyotumia hivi karibuni Ni moja ya njia watumiazo mawakili wakiwa mahakamani.
Kwanza anakupa mtego wa swali,hoja au maneno,ukijaa anakuweka Kati.
Sasa suala la vitambuliaho vya wamachinga kamtega Jiwe,jiwe kaingia mtegoni,kwa kujibu kuwa,

"vitambuliaho sio lazima."

Tayari Mzee Baba akawa kaingia mtegoni.

Lissu kampa kubwa na kumuingiza Kati,Mzee Baba.
Akamwambia,

"Kama vitambuliaho sio lazima? Futa sheria iliyoviweka"!


Jiwe chali.
Chato hiyooooo, Oct 30

Kushindana na mtu katika jambo fulani bila kujua uwezo wake na nguvu alizo nazo mpinzani wako ni tatizo kubwa.
 
Lissi Ni pasua kichwa kwa kweli,ukisikia watoto wa Mjini ndo Hawa.
Lissu anafanya kampeni kwa njia nyingi mno,na huwezi kujua utamkabili kwa njia ipi.
Njia aliyotumia hivi karibuni Ni moja ya njia watumiazo mawakili wakiwa mahakamani.
Kwanza anakupa mtego wa swali,hoja au maneno,ukijaa anakuweka Kati.
Sasa suala la vitambuliaho vya wamachinga kamtega Jiwe,jiwe kaingia mtegoni,kwa kujibu kuwa,

"vitambuliaho sio lazima."

Tayari Mzee Baba akawa kaingia mtegoni.

Lissu kampa kubwa na kumuingiza Kati,Mzee Baba.
Akamwambia,

"Kama vitambuliaho sio lazima? Futa sheria iliyoviweka"!


Jiwe chali.
Chato hiyooooo, Oct 30
Nyie chadema mnaelewaga kila baada ya miaka mitano.
 
Endelea kumlea hyo kifutu alienenepeana kama likoboko, ila jua mwamba akirudi tena safari hii ni zamu yako kulia.
Hahahah wala silii na sito lia maana mimi ni kijana mchapakazi na nafanya shughuli zangu kihalali ndio maana nasema tumuunge mkono raisi wetu mpendwa apate mitano mingine ili tupate maendeleo zaidi ya haya tunayo yaona, naomba kura yako mpe magufuli yeye anatufaa achana na hao wajanja janja wanaotaka kukutumia wewe kujinufaisha wao
2526615_1600781541524.png
 
Lissi Ni pasua kichwa kwa kweli,ukisikia watoto wa Mjini ndo Hawa.
Lissu anafanya kampeni kwa njia nyingi mno,na huwezi kujua utamkabili kwa njia ipi.
Njia aliyotumia hivi karibuni Ni moja ya njia watumiazo mawakili wakiwa mahakamani.
Kwanza anakupa mtego wa swali,hoja au maneno,ukijaa anakuweka Kati.
Sasa suala la vitambuliaho vya wamachinga kamtega Jiwe,jiwe kaingia mtegoni,kwa kujibu kuwa,

"vitambuliaho sio lazima."

Tayari Mzee Baba akawa kaingia mtegoni.

Lissu kampa kubwa na kumuingiza Kati,Mzee Baba.
Akamwambia,

"Kama vitambuliaho sio lazima? Futa sheria iliyoviweka"!


Jiwe chali.
Chato hiyooooo, Oct 30
Mkuu nchi lazima iendeshwe kwa kodi, na sisi raia ndiyo tuna jukumu kubwa la kulipa kodi ili nchi iendelee. Kitambulisho unalipa kodi kwa mwaka mzima na unafanya biashara popote pale huu ni uzalendo mkubwa sanaa kwa taifa. Nchi itajengwa na wananchi wenyewe.
 
Back
Top Bottom