Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Lisu ni kidagaa tu na oktoba ataelewa kwanini tunamuita ni kidagaa
20200814_164053.jpg
 
Kipimo cha ushindi kingekuwa ni nyomi Lowassa angeshinda asubuhi na mapema. Wapinzani mnakwama sana.
Sasa Mlijifungia 5 days na kuleta aibu ya Karne mpaka Wazee wenu Wamekasirika ...stay tuned kuanzia kesho hapa hapa
 
Sasa Mlijifungia 5 days na kuleta aibu ya Karne mpaka Wazee wenu Wamekasirika ...stay tuned kuanzia kesho hapa hapa
Wewe hujui chochote unatokwa na mapovu ya bure kabisa... tunaojua nini kinaendelea wala hatuna pressure.
 
Kipimo cha ushindi kingekuwa ni nyomi Lowassa angeshinda asubuhi na mapema. Wapinzani mnakwama sana.
Mpaka sasa maji ya shingo,hata dalili za ushaarabu ulioonyeshwa kwa kipindi hiki kifupi Cha kampeni kinaanza kuingia mashaka. Yafaa mjitafakari hata Kama maji ya shingo.badilisheni mbinu zenu , acheni mbinu chafu na mwende kwa wapiga kura na mbinu zinazo kubalika. Ili kumbukeni pia kuwa wapinzani mtapata nafasi ya kujifunza mnakosea wapi au mlikosea wapi.
 
Mpaka sasa maji ya shingo,hata dalili za ushaarabu ulioonyeshwa kwa kipindi hiki kifupi Cha kampeni kinaanza kuingia mashaka. Yafaa mjitafakari hata Kama maji ya shingo.badilisheni mbinu zenu , acheni mbinu chafu na mwende kwa wapiga kura na mbinu zinazo kubalika. Ili kumbukeni pia kuwa wapinzani mtapata nafasi ya kujifunza mnakosea wapi au mlikosea wapi.
Mkuu sasa hivi wanagombana wao kwa wao hakukaliki huko LISSU balaa
 
Mpaka sasa maji ya shingo,hata dalili za ushaarabu ulioonyeshwa kwa kipindi hiki kifupi Cha kampeni kinaanza kuingia mashaka. Yafaa mjitafakari hata Kama maji ya shingo.badilisheni mbinu zenu , acheni mbinu chafu na mwende kwa wapiga kura na mbinu zinazo kubalika. Ili kumbukeni pia kuwa wapinzani mtapata nafasi ya kujifunza mnakosea wapi au mlikosea wapi.
Comrade chama chetu tuna vitengo makini vilivyojitosheleza kila sekta. Sijui utaongea kitu gani kiwe kigeni kwetu.
 
Back
Top Bottom