technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Wamwandikie kwanza jiwe anayevuruga rariba za kampenzi za uchaguzi kila siku.
Upumbavu Sasa basi!
Upumbavu Sasa basi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamwandikie kwanza jiwe anayevuruga rariba za kampenzi za uchaguzi kila siku.
Upumbavu Sasa basi!
Walio mdanganya jiwe apige magoti vipi
People used to die in the lake
OkUmeanza Kuvuta Bange / Bangi lini labda?
Tangu uanze kuandika hapa JF kipato chako kimeongezekaTume ya Uchaguzi Tanzania (NEC) imetoa taarifa rasmi inayothibitisha kumuandikia barua ya kumuita kwenye kikao cha kamati ya maadili, mgombea wa urais kupitia @chadematzofficial, Tundu Lissu kwa ajili ya kujibu tuhuma mbalimbali alizozitoa katika mikutano yake, dhidi ya NEC na mgombe urais kupitia @ccmtanzania Dkt John Magufuli.
Nipashe ( 50 minutes ago )
Tundu Lissu kama 'itakupendeza' hebu fanya 'Uchunguzi' wako hasa kwa hao 'Wanaokuzunguka' kwani yawezekana wapo wanaotaka Kukuharibia.
Tume ya Uchaguzi Tanzania (NEC) imetoa taarifa rasmi inayothibitisha kumuandikia barua ya kumuita kwenye kikao cha kamati ya maadili, mgombea wa urais kupitia @chadematzofficial, Tundu Lissu kwa ajili ya kujibu tuhuma mbalimbali alizozitoa katika mikutano yake, dhidi ya NEC na mgombe urais kupitia @ccmtanzania Dkt John Magufuli.
Nipashe ( 50 minutes ago )
Tundu Lissu kama 'itakupendeza' hebu fanya 'Uchunguzi' wako hasa kwa hao 'Wanaokuzunguka' kwani yawezekana wapo wanaotaka Kukuharibia.
Maneno matupu sio ushahidi waoneshe ushahidi wa dispatch na barua kugongwa muhuri wa received wa Chadema na sahihi na Majina ya ofisa aliyepokea hiyo baruaTume ya Uchaguzi Tanzania (NEC) imetoa taarifa rasmi inayothibitisha kumuandikia barua ya kumuita kwenye kikao cha kamati ya maadili, mgombea wa urais kupitia @chadematzofficial, Tundu Lissu kwa ajili ya kujibu tuhuma mbalimbali alizozitoa katika mikutano yake, dhidi ya NEC na mgombe urais kupitia @ccmtanzania Dkt John Magufuli.
Nipashe ( 50 minutes ago )
Tundu Lissu kama 'itakupendeza' hebu fanya 'Uchunguzi' wako hasa kwa hao 'Wanaokuzunguka' kwani yawezekana wapo wanaotaka Kukuharibia.
Hawamjui Lissu hawa. Wanadhani Jiwe aliamua kumpiga risasi hivi hivi tu!! Lissu sio wa Sayari hii!! Huyu ni mwanasiasa na nusu!! Habari yake wataipata tu😂😂Hizo ni njama za kumvurugia ratiba yake ya kampeni na wala si vinginevyo! Mwaka huu mtaukubali tu mziki wa T. Lissu.# NI YEYE 2020
😂😂😂😂Walio mdanganya jiwe apige magoti vipi
People used to die in the lake
Huu ni Upumbavu Kama upumbavu mwingine kutoka kwa gazeti la chama na kada mwingine! Unastahili kutupwa chooni kama pampasi iliyotumika.!Tume ya Uchaguzi Tanzania (NEC) imetoa taarifa rasmi inayothibitisha kumuandikia barua ya kumuita kwenye kikao cha kamati ya maadili, mgombea wa urais kupitia @chadematzofficial, Tundu Lissu kwa ajili ya kujibu tuhuma mbalimbali alizozitoa katika mikutano yake, dhidi ya NEC na mgombe urais kupitia @ccmtanzania Dkt John Magufuli.
Nipashe ( 50 minutes ago )
Tundu Lissu kama 'itakupendeza' hebu fanya 'Uchunguzi' wako hasa kwa hao 'Wanaokuzunguka' kwani yawezekana wapo wanaotaka Kukuharibia.
hawapo makini.Kambi yake hasa ( Campaign Team yake ) na Chama chake cha 'CHADEMA' walisema hawakupewa 'Barua' kumbe ilishapelekwa 'Kitambo' sana tu.
Tume ya Uchaguzi Tanzania (NEC) imetoa taarifa rasmi inayothibitisha kumuandikia barua ya kumuita kwenye kikao cha kamati ya maadili, mgombea wa urais kupitia @chadematzofficial, Tundu Lissu kwa ajili ya kujibu tuhuma mbalimbali alizozitoa katika mikutano yake, dhidi ya NEC na mgombe urais kupitia @ccmtanzania Dkt John Magufuli.
Nipashe ( 50 minutes ago )
Tundu Lissu kama 'itakupendeza' hebu fanya 'Uchunguzi' wako hasa kwa hao 'Wanaokuzunguka' kwani yawezekana wapo wanaotaka Kukuharibia.
Naona tumaini lenu limebaki kwa NEC, Ni Kama mnamsikilizia mgonjwa anyetaka kukata roho kwa kukosa damu.hawapo makini.
Barua inatakiwa ipelekwe kwa Tundu Lissu binafsi na sio kwa iofisi za chama. Mwaka huu Tundu Lissu atawafundisha hadi mumsalimie Shikamoo!Maneno matupu sio ushahidi waoneshe ushahidi wa dispatch na barua kugongwa muhuri wa received wa Chadema na sahihi na Majina ya ofisa aliyepokea hiyo barua