Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Mnhhhhhh wewe miaka yote unajua kuna matatizo mvua ikinyesha,halafu unapewa uongozi unaanza na kunajenga fly overs?!?..ni kudharau wananchi au sifa tu???.. mbona ameweza kuijenga Chato, ameshindwa nini kuweka miundo mbinu sawa Dareslaam....???

Hapa tunaongelea sewage system hilo ni swala la serikali 100%

kutupa takataka hovyo pia ni la serikali, kama ime ignore sewage system, itaweza vipi ku mobilize watu wasitupe taka...??? kuna dharau flani hivi kutoka kwa serikali!

I'm glad unajua kuwa kila kiongozi atakuja na yake, sisi tumeshaona ya MAGUFULI na flyovers zake, its TIME for Lissu.
Sawa tuchagulieni huyo aje atatue hizo sewage system! Ila nae asipotekeleza usishangae..😂
 
Hello JF

Poleni na mvua...

Katika swala lililomuacha peupe Raisi na serikali yake ya awamu ya tano ni hili la mvua...

Mimi sio engineer ila kulitakiwa kuwe na proper channels/sewage system na hayo maji yakawa directed properly....

Sasa inashangaza unaanza na ma fly over wakati huku chini hujaweka miundo mbinu mizuri, mbona haihitaji akili kuona hapana..flyover sio important kama sewage system!!!????

Mpigieni kura Lissu, he knows how to prioritize things (My guess, msinipopoe)

Becky
...Vp Becky?...😘😘😘.
 
Kama miundombinu ya hilo jiji imeanza kusumbua wakati wa huyu Jamaa basi anastahili lawama lkn Kama ilianza awamu zilizopita basi jueni ni tatizo la kurithi!...

Kitu kimoja tu hakitoshi kufanya achaguliwe mtu fulani! Kila changamoto jicho linaangukia kwa kiongozi mkuu! Vipi mipango miji..? Vipi na wale wanaojenga kwenye mabonde hata wakiambiwa hawasikii..?

Sidhani Kama hivyo tu kunajitosheleza na kwa mantiki hiyo basi kila atakaeingia madarakani likitokea tatizo tu,Basi mtasema vivyohivyo tumchague fulani!.. na swala si kumchagua fulani swala ni kukidhi hapo ndo panapostahili jawabu.
Tatizo Ni CCM
 
Hello JF

Poleni na mvua...

Katika swala lililomuacha peupe Raisi na serikali yake ya awamu ya tano ni hili la mvua...

Mimi sio engineer ila kulitakiwa kuwe na proper channels/sewage system na hayo maji yakawa directed properly....

Sasa inashangaza unaanza na ma fly over wakati huku chini hujaweka miundo mbinu mizuri, mbona haihitaji akili kuona hapana..flyover sio important kama sewage system!!!????

Mpigieni kura Lissu, he knows how to prioritize things (My guess, msinipopoe)

Becky
Maendeleo ni hatua, kuwapa uongozi chama cha Mbowe ni sawa na kujichimbia kaburi na kujizika mwenyewe.
 
Kama miundombinu ya hilo jiji imeanza kusumbua wakati wa huyu Jamaa basi anastahili lawama lkn Kama ilianza awamu zilizopita basi jueni ni tatizo la kurithi!...

Kitu kimoja tu hakitoshi kufanya achaguliwe mtu fulani! Kila changamoto jicho linaangukia kwa kiongozi mkuu! Vipi mipango miji..? Vipi na wale wanaojenga kwenye mabonde hata wakiambiwa hawasikii..?

Sidhani Kama hivyo tu kunajitosheleza na kwa mantiki hiyo basi kila atakaeingia madarakani likitokea tatizo tu,Basi mtasema vivyohivyo tumchague fulani!.. na swala si kumchagua fulani swala ni kukidhi hapo ndo panapostahili jawabu.
ndo ujinga wa wana CCM unapoanzia ,kutetea utumbo wa wazi
 
Uko sahihi Rebecca kwa ushauti wako mzuri, tutalizingatia hilo, kura zote ni kwa TAL
Hello JF

Poleni na mvua...

Katika swala lililomuacha peupe Raisi na serikali yake ya awamu ya tano ni hili la mvua...

Mimi sio engineer ila kulitakiwa kuwe na proper channels/sewage system na hayo maji yakawa directed properly....

Sasa inashangaza unaanza na ma fly over wakati huku chini hujaweka miundo mbinu mizuri, mbona haihitaji akili kuona hapana..flyover sio important kama sewage system!!!????

Mpigieni kura Lissu, he knows how to prioritize things (My guess, msinipopoe)

Becky
 
Kwa iyo ktk kipindi chake hakupaswa kuja na ubunifu wa namna ya kulitatua??

Wewe jitathmini na hoja zako pia unachokiandika
Kama miundombinu ya hilo jiji imeanza kusumbua wakati wa huyu Jamaa basi anastahili lawama lkn Kama ilianza awamu zilizopita basi jueni ni tatizo la kurithi!...

Kitu kimoja tu hakitoshi kufanya achaguliwe mtu fulani! Kila changamoto jicho linaangukia kwa kiongozi mkuu! Vipi mipango miji..? Vipi na wale wanaojenga kwenye mabonde hata wakiambiwa hawasikii..?

Sidhani Kama hivyo tu kunajitosheleza na kwa mantiki hiyo basi kila atakaeingia madarakani likitokea tatizo tu,Basi mtasema vivyohivyo tumchague fulani!.. na swala si kumchagua fulani swala ni kukidhi hapo ndo panapostahili jawabu.
 
Hata mimi wananishangaza, as if hawastahili maisha bora ambayo ni wajibu wa serikali
watu wanatetea ujinga tu ,mi wanaccm wa segerea nimewakubali Bonnah Kamoli hajawahi kufanya lolote ,hajawahi kuitisha hata mkutano kuongea na wananchi miaka 5,sasa hivi wakati wa kampeni anaibuka ukiona njia za segerea hazifai hata vitu vya polisi hamna huko ndani ndani .Wana CCM wa hapa wenyewe wanasema hawamchagui tena hajafanya kitu ,ni vizuri kutetea pale panapostahili ila kutetea miundo mbinu hovyo kisa waliopita hawakufanya lolote ni ujinga ,ccm ina miaka 60 hawana jipya mambo ni yale yale tu
 
Hello JF

Poleni na mvua...

Katika swala lililomuacha peupe Raisi na serikali yake ya awamu ya tano ni hili la mvua...

Mimi sio engineer ila kulitakiwa kuwe na proper channels/sewage system na hayo maji yakawa directed properly....

Sasa inashangaza unaanza na ma fly over wakati huku chini hujaweka miundo mbinu mizuri, mbona haihitaji akili kuona hapana..flyover sio important kama sewage system!!!????

Mpigieni kura Lissu, he knows how to prioritize things (My guess, msinipopoe)

Becky
Imesha julikana, mipango ya maendeleo inayosomwa wakati wa budget ni hewa, inayotekelezwa ni kwa utashi na maamuzi ya mtu mmoja, nikifanikiwa kukumbuka jina lake nitamwombea kwa Mungu amhurumie.
 
Kama miundombinu ya hilo jiji imeanza kusumbua wakati wa huyu Jamaa basi anastahili lawama lkn Kama ilianza awamu zilizopita basi jueni ni tatizo la kurithi!...

Kitu kimoja tu hakitoshi kufanya achaguliwe mtu fulani! Kila changamoto jicho linaangukia kwa kiongozi mkuu! Vipi mipango miji..? Vipi na wale wanaojenga kwenye mabonde hata wakiambiwa hawasikii..?

Sidhani Kama hivyo tu kunajitosheleza na kwa mantiki hiyo basi kila atakaeingia madarakani likitokea tatizo tu,Basi mtasema vivyohivyo tumchague fulani!.. na swala si kumchagua fulani swala ni kukidhi hapo ndo panapostahili jawabu.
Acha blah blah kwa kifupi Magufuli Hana chake arudi kijijini akachunge ng'ombe, mshamba huyo!
 
Kwa iyo ktk kipindi chake hakupaswa kuja na ubunifu wa namna ya kulitatua??

Wewe jitathmini na hoja zako pia unachokiandika
Mkuu kuwa na kichwa kielewa sijaandika kuwa asije na solution isipokuwa asibebeshwe mzigo wote utafikiri yeye ndio alieratibu mpango mji wa Hilo jiji toka limeanza.. akiwa Kama kiongozi anatakiwa alione na sio kwamba asifanye mengine kisa alione hilo tu.. Kwanza hilo mamlaka za jiji zilipaswa zilimalize tatizo bongo mmezoea kila kitu atatue rais tu utafikiri kwenye majiji hakuna viongozi na hawayaoni haya.. Leo mnakuja kumlaumu mtu alietawala miaka 5 tu wakati Kuna watu huko tatizo lilikuwepo miaka nenda rudi! Kwanini hamkuwavika hayo majoho ya lawama..?? Hizo pesa zinazoingia kwenye majiji na kujitapa na hizo wilaya sahivi mnaziita mkoa zinasaidia nini sasa kama wanajua miaka nenda rudi tatizo mitaro!
 
Back
Top Bottom