Lissu alisema leo angekua JF kujibu maswali lakini naona kaingia mitini. Ha ha ha ha haa . kaogopa maswali magumu
Unamaanisha palikuwa na jiwe na mdahalo? Kuwa jiwe tayari alikuwa ulingoni anamsubiri Lissu ajitokeze?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu alisema leo angekua JF kujibu maswali lakini naona kaingia mitini. Ha ha ha ha haa . kaogopa maswali magumu
We kigori, hujasoma maelezo..Nini kimetokea, na Nini kitafanyika !?Lissu alisema leo angekua JF kujibu maswali lakini naona kaingia mitini. Ha ha ha ha haa . kaogopa maswali magumu
Ninaona kasoro kubwa sana kwa upande wa vyama vya upinzani; kasoro yenyewe ni kutokuhamasisha vijana wakati wa lile zoezi la kuhuisha daftari la wapiga kura. Kundi kubwa lililo nyuma ya upinzani ni vijana ambao kwa uhakika si wapiga kuraMimi ni kati ya wale ambao hawakutegemea huyu jamaa kuwa na ushawishi wa hivi, na nakiri kuwa simkubali kama kiongozi ila namkubali kama mwanaharakati.
Ila jamaa anapendwa, na nadhani hata CCM hawakutegemea hii. Mimi mwenyewe sikutegemea kama atakuwa na ushawishi hivi. Aliporudi watu wakaenda kumpokea nilidhani ni viajan tu wa Dar wamepandwa mzuka.
Ila hata mikoani kila anapoenda nyomi kama lote. Jana nimeshangaa kuona Sengerema watu wamejaa kama wote wakimsubiri alipowadia kwa boti. Ila kuna mammbo mengine yanafanyika yanachekesha. Mfano, kukimbiza kivuko ili wasimbebe lissu ni jambo la kuchekesha sana aisee.
Sidhani kama atashinda maana tume ni ile ile, CCM ni ile ile, lakini nilikuwa kati ya wale waliodhani Magu atapita kwa 85% ila kwa mambo yalivyo hiyo % itashuka. Nilihisi Zitto ataifanya ACT kuwa chama kikuu cha upinzani, ila CHADEMA naona bado ina nguvu sana na kubaniwa kote kufanya siasa kwa miaka mitano.
Hivi nani mwaharakati na nani ni Rais? This is foolishnessMimi ni kati ya wale ambao hawakutegemea huyu jamaa kuwa na ushawishi wa hivi, na nakiri kuwa simkubali kama kiongozi ila namkubali kama mwanaharakati.
Ila jamaa anapendwa, na nadhani hata CCM hawakutegemea hii. Mimi mwenyewe sikutegemea kama atakuwa na ushawishi hivi. Aliporudi watu wakaenda kumpokea nilidhani ni viajan tu wa Dar wamepandwa mzuka.
Ila hata mikoani kila anapoenda nyomi kama lote. Jana nimeshangaa kuona Sengerema watu wamejaa kama wote wakimsubiri alipowadia kwa boti. Ila kuna mammbo mengine yanafanyika yanachekesha. Mfano, kukimbiza kivuko ili wasimbebe lissu ni jambo la kuchekesha sana aisee.
Sidhani kama atashinda maana tume ni ile ile, CCM ni ile ile, lakini nilikuwa kati ya wale waliodhani Magu atapita kwa 85% ila kwa mambo yalivyo hiyo % itashuka. Nilihisi Zitto ataifanya ACT kuwa chama kikuu cha upinzani, ila CHADEMA naona bado ina nguvu sana na kubaniwa kote kufanya siasa kwa miaka mitano.
Nini?We kigori,Hujasoma maelezo..Nini kimetokea, na Nini kitafanyika !?
Uliza swali lako JF pekee inakutosha, wala Mh. Lissu haitaji kupotezewa muda. Kauli ya watu ndio turufu. Lissu anapendwa na watanzania. Full Stop. Magu kajitahidi weee kuua upinzani kakwamaLissu alisema leo angekua JF kujibu maswali lakini naona kaingia mitini. Ha ha ha ha haa . kaogopa maswali magumu
Wengi wakiingia mkenge huo, kwamba Lissu ni mwanaharakati tuuu basi. Au ni courtroom lawyer basi. Lakini alivyomkimbiza mchakamchaka huyo unaemwita rais , hadi anakemea watu hovyo, na kujiumauma mfano ishu ya "vitambulisho" feki, sasa watanzania wanajua nani Rais wa ukweliHivi nani mwaharakati na nani ni Rais? This is foolishness
Mimi ni kati ya wale ambao hawakutegemea huyu jamaa kuwa na ushawishi wa hivi, na nakiri kuwa simkubali kama kiongozi ila namkubali kama mwanaharakati.
Ila jamaa anapendwa, na nadhani hata CCM hawakutegemea hii. Mimi mwenyewe sikutegemea kama atakuwa na ushawishi hivi. Aliporudi watu wakaenda kumpokea nilidhani ni viajan tu wa Dar wamepandwa mzuka.
Ila hata mikoani kila anapoenda nyomi kama lote. Jana nimeshangaa kuona Sengerema watu wamejaa kama wote wakimsubiri alipowadia kwa boti. Ila kuna mammbo mengine yanafanyika yanachekesha. Mfano, kukimbiza kivuko ili wasimbebe lissu ni jambo la kuchekesha sana aisee.
Sidhani kama atashinda maana tume ni ile ile, CCM ni ile ile, lakini nilikuwa kati ya wale waliodhani Magu atapita kwa 85% ila kwa mambo yalivyo hiyo % itashuka. Nilihisi Zitto ataifanya ACT kuwa chama kikuu cha upinzani, ila CHADEMA naona bado ina nguvu sana na kubaniwa kote kufanya siasa kwa miaka mitano.
Nakuuliza we kigori hujui Nini kimetokea...Ni kwamba maswali yamekuwa mengi Sana, yamekusanywa atayajibu !Nini?
Tukubaliane kutokubaliana, ndiyo demokrasia yenyewe na huo ni mtazamo wangu.Hivi nani mwaharakati na nani ni Rais? This is foolishness
Are you shoe?Nakuuliza we kigori hujui Nini kimetokea...Ni kwamba maswali yamekuwa mengi Sana,yamekusanywa atayajibu !
Watanzania woteAnapendwa na vilaza wa ufipa
Wewe unaswali gani gumu?Lissu alisema leo angekua JF kujibu maswali lakini naona kaingia mitini. Ha ha ha ha haa . kaogopa maswali magumu
TWO PERFECT IDIOTSHawezi kuja hapa, na kama akija mimi nitakuwa wa kwanza kumuuliza swali gumu mno ambali naamini hatoweza kunijibu.
Lissu alisema leo angekua JF kujibu maswali lakini naona kaingia mitini. Ha ha ha ha haa . kaogopa maswali magumu
We unalo?Wewe unaswali gani gumu?
Mimi ni kati ya wale ambao hawakutegemea huyu jamaa kuwa na ushawishi wa hivi, na nakiri kuwa simkubali kama kiongozi ila namkubali kama mwanaharakati.
Ila jamaa anapendwa, na nadhani hata CCM hawakutegemea hii. Mimi mwenyewe sikutegemea kama atakuwa na ushawishi hivi. Aliporudi watu wakaenda kumpokea nilidhani ni viajan tu wa Dar wamepandwa mzuka.
Ila hata mikoani kila anapoenda nyomi kama lote. Jana nimeshangaa kuona Sengerema watu wamejaa kama wote wakimsubiri alipowadia kwa boti. Ila kuna mammbo mengine yanafanyika yanachekesha. Mfano, kukimbiza kivuko ili wasimbebe Lissu ni jambo la kuchekesha sana aisee.
Sidhani kama atashinda maana tume ni ile ile, CCM ni ile ile, lakini nilikuwa kati ya wale waliodhani Magu atapita kwa 85% ila kwa mambo yalivyo hiyo % itashuka. Nilihisi Zitto ataifanya ACT kuwa chama kikuu cha upinzani, ila CHADEMA naona bado ina nguvu sana na kubaniwa kote kufanya siasa kwa miaka mitano.