Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Huyu bwana anaushawishi mkubwa sn hukumbuki mpaka spika na mwanasheria mkuu wa serikali walikua wanaomba Tundu Lissu aweke mambo sawa?
Ndipo JK ambaye hapendi unafiki akasema maneno yafuatayo.....

"Ni heri Dr.Slaa ashinde urais kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge." Maneno ya Rais Kikwete mwezi Septemba mwaka 2010.
 
Lissu alisema leo angekua JF kujibu maswali lakini naona kaingia mitini. Ha ha ha ha haa . kaogopa maswali magumu
Nilibahatika kuona swali lako lilikiwa la kishamba tu nikajaribu kukujibu Mimi badala ya Lisu bahati mbaya uzi ulikuwa umeshafungwa
 
PAMOJA NA UCHADEMA WETU HII HAIFAI KUPUUZA KWA SABABU IPO WAZI NA HATUJAWAHI KUPEWA MAJIBU ZAIDI YA KUAMBIWA CHAMA NI MALI YA MBOWE


*HAWA NDO CHADEMA WANAOTAKA KUCHUKUA NCHI*

[emoji117]Ni hivi, tangu wameingia madarakani, Chadema wamekuwa wakipokea ruzuku ya Shilingi Milioni 336,000,000/= kwa mwezi. Kwa mwaka (336,000,000/= x 12) = 4,032,000,000/=. Kwa miaka mikano (2015-2020) Chadema wamekusanya Jumla ya Shilingi *20,160,000,000/= (Bilioni Ishirini na Milioni Mia Moja na Sitini).*

[emoji117]Chadema walikuwa na jumla ya wabunge 70, kati ya hawa 34 wa kuchaguliwa, na 36 wa Viti Maalum. Kila mbunge wa kuchaguliwa alikuwa anachangishwa Shilingi Milioni Moja 520,000/= kwa mwezi na kila mbunge wa Viti Maalum alikuwa anachangishwa Shilingi Laki Tano (1,500,000/=) kwa mwezi.

[emoji117]Hivyo, idadi ya michango ya wabunge wa kuchaguliwa kwa mwezi ilikuwa (520,000/= x 34) = 17,680,000/=; na idadi ya michango ya wabunge wa Viti Maalum kwa mwezi ilikuwa (1,500,000/= x 36) = 54,000,000/=. Kwa ujumla wake, Chadema walikuwa wanakusanya kiasi cha shilingi 71,680,000/= kwa mwezi kutokana na michango ya wabunge. Kwa mwaka (71,680,000/= x 12 = 860,160,000/=. Kwa miaka mitano (2015-2020) Chadema wamekusanya Jumla ya *Shilingi 4,300,800,000/= (Bilioni Nne Mia Tatu Milioni na Laki Nane)*

Twende sawa hapa

Ruzuku 20,160,000,000/=
Michango ya wabunge 4, 300,800,000/=

Jumla 24,460,800,000/= *(Bilioni Ishirini na Nne Milioni Mia Nne na Sitini na Laki Nane)*

[emoji117]Licha yah hii;
· Chadema wanakusanya fedha kutoka kwenye ada za wanachama kila mwaka,
· Chadema wamefanya harambee ya nchi nzima mara kadhaa, nakumbuka ipo iliyofanyika Dar es Salaam (Serena hotel) na Arusha (hotel ya Mrema nimeisahau jina), na Mwanza kwa kuwataka Watanzania kuwachangia electronically. Hata mara moja hawajawahi kutoa ‘feedback’ kwa Watanzania hawa waliochanga. Kama wanabisha na ni wawazi kama wanavyojinasibu, watoe taarifa kwa kila tukio.

[emoji117]Hapo hatujaweka michango ya wanachama nchi nzima kila mwaka, Hivyo haya ni sehemu ya makusanyo yao ya miaka 5 tu kama Chama ambacho kimekuwa Chama kikuu cha upinzani nchini kwa miaka takribani 20, bado hii leo:

[emoji117]i. Hakina ofisi yao kama jengo, pamoja na kununua eneo miaka ya nyuma ili kuweka jengo la ghorofa 11kwa minajili ya kujenga ofisi yenye hadhi ya chama kikuu cha upinzani na kupangisha maeneo mengine. Ni kama Milioni 150 zilizotumika kununua eleo zilitupwa tu. Ofisi hii ya Chama inayotumika leo ilinunuliwa na Bob Makani. Kina Mbowe na Lissu wanaojinasibu kuwaletea Maendeleo Watanzania hawajawahi kufanya lolote pamoja na kujikusanyia mabilioni ya pesa kila mwaka.
[emoji117]ii. Makatibu wake wa wilaya wengi (kama sio wote) nchi nzima hawalipwi mishahara wala posho,
[emoji117]iii. Leo hii kampeni zinaendelea Chama hakina pesa za kuendesha kampeni, badala yake wanapitisha kofia kuwachangisha wananchi katika mikutano ya kampeni.

[emoji117]Hii pesa yote iko wapi? Kama imewekezwa, imewekezwa wapi? Mbona wabunge wao wanalalamika wakihoji haya wanaambiwa hakuna kuhoji?

[emoji117]Haya matumizi mabaya yote ya pesa yanafanyika wakati Tundu Lissu (eti mpenda haki huyu, na mtetezi dhidi ya ukandamizaji, na mwanademokrasia) akiwa ‘amebandikwa’ nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Chama, na Makamu Mwenyekiti wa Chama. Wanachama wanalalamikia haya yote, mwanasheria anateyakiwa kuwatetea, Bwana Tundu Lissu ametulia tulii kama vile hakuna kilichotokea yaani! Eti leo anaimba uhuru, haki na maendeleo wakati Chadema yake hakuna Uhuru, Chadema yake hakuna Haki, Chadema yake hakuna Maendeleo!, nay eye ni Kiongozi mwandamizi wa Chadema.

[emoji117]Ni huyuhuyu Tundu Lissu na Chadema wake wanataka Watanzania wawape ridhaa ya kusimamia utajiri wote wa nchi, waratibu matumizi ya matrilioni ya kodi zote zinazokusanywa nchini, wasimamie miradi yote ili eti walete ustawi kwa Watanzania.

[emoji117]Ni huyu huyu Tundu Lissu na Mbowe ambao ni viongozi wakuu wa Chadema miaka nenda rudi bado wanapanga makao makuu ya chama taifa kwenye nyumba ya mtu (mtaa wa Ufipa-Kinondoni), ndo wanasema eti watawasomesha bure Watanzania, eti watawatibu bure Watanzania wote.


[emoji117]Sasa ona hii, Lissu anajiita eti ni mwanasheria anayesimamia katiba na sharia. Hivi hiyo nafasi ya Mwanasheria wa Chama aliyonayo ndani ya Chadema iko kikatiba? Atoke huko atuonyeshe kwenye katiba kama kuna nafasi ya mwanasheria wa Chama kikatiba. Huyu huyu ameshindwa kusimamia haki ndani ya Chama, ameshindwa kutetea uhuru wa wanaokandamizwa ndani ya chama kiasi cha anayehoji tu anafukuzwa uanachama, ameshindwa kusimamia na kuheshimu katiba ya chama; eti leo hii anataka kusimamia haya akiwa Rais wa Tanzania?

[emoji117]Wahenga walisema “sumu haijaribiwi kwa kuionja”, Chadema hii ya Lissu na Mbowe ni sumu kwa Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee tupo kwenye kampeni huo upuuzi ulioandika unategemea nani atausoma?? Lissu amenifundisha kitu kikubwa maishani ni si kingine, ni kuwa na msimamo na kile unachokiamini. He is going to win this election.
 
Tuliambiwa atakuwa hapa JF saa mbili hadi saa nne asubuhi. Hayo ya kupitia maswali elfu unayajua wewe peke yako.
Dada kuwa muelewa maswali elf si jambo dogo. Nadhani kwa umri wako ulipitia darasani. Lazima afanye kitu kinachoitwa Sorting ndio apate kujibu. Mengine ni ya kisera mengine ni ya jumla. Lazima ajibu akiconsult ILANI yao ya uchaguzi kuepuka any possible contradiction. Wee kalia ushabiki
 
CCM ishakwisha!! madharau yalizidi mno huu ndiyo mshahara unaowafaa.
 
Kila Mtanzania mpenda Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu atakubaliana nami kuwa Ushindi ujao katika uchaguzi mkuu hautakuwa wa Lissu binafsi Bali wa hao nilio wataja.

Kwa maana hiyo, NEC, Polisi au Returning officers yeyote atakaye hujumu uchaguzi huu atakuwa sio anamtendea Lissu uharamia Bali mamilioni ya wenye nchi yao ambao ni Watanzania wapenda Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu.

Jee hawaogopi nguvu ya umma huu na matokeo yake ambayo yametajwa kisheria?
Kwa watu wasijua na hasa wafuasi/shabiki wa HUYO humu JF, wakimwita NiYeyee kama walikuwa hawajui, watambue kuwa Uchaguzi wa vyama vingi, sasa umebadilika kuwa ushindani wa vyama na siyo wa wagombea. Ushindani wa vyama kwa maana iwapo chama kikiingia madarakani kitawafanyia nini wapiga kura kuwaondoa kwenye hali iliyopo sasa ya maendeleo kwenda mbelr zaidi kuondokana na adui umaskini, maradhi na ujinga.

Kuna chama wagombea wake wananadi Sera ya Uhuru na Haki. Najiuliza kwa sauti kama kuna Mtanzania ambaye hajitambui kuwa yuko huru!!

Naamini kila mwananchi anajua yuko huru na ana haki za kutumia uhuru wake huo. Yawezekana kiwango cha uelewa wa uhuru na haki vikatofautiana kati ya mtu na mtu. Lakini hii haina maana hakuna uhuru wala haki. Mwananchi adingekuwa huru asingejiandikisha kupiga kura, kushiriki kwenye kampeni kwa hiari, na siku ya kupiga kura akaenda au asiende kupiga kura.

Kuna chama kinabeza maendeleo yaliyopo ni ya vitu. Sina uhakika kama wagombea wanajua mahitaji ya wapiga kura! Mwananchi, hata wewe na mimi, maendeleo ni vitu (mali aliyokuwa nayo mtu).

Vijijini ni jamii ya wakulima, wavuvi, na wafugaji. Je, mahitaji yao kwa maendeleo ni nini? Sera zinazojibu swali hili ndizo zitakipa hicho chama ushindi.
 
Lissu alisema leo angekua JF kujibu maswali lakini naona kaingia mitini. Ha ha ha ha haa . kaogopa maswali magumu
Jane kuwa na subira...mambo ni mengi na kampeni ndiyo zimepamba moto muda wa lala salama ingawa wa kwetu kila uchao ni mapumziko.

Atazijibu tu tena kwa ufasaha mkubwa!! Lissu hajawahi kuwaangisha watanzania hata mara moja!! Wana imani kubwa mno kwake na ndiyo maana kila aendako wanamfuata kwa maelfu na maelfu ili kusikia maneno ya matumaini mapya toka kwake!!
 
Shida sio kupendwa, kuiondoa sisiemu madarakani inahitaji mabadiliko ya kimfumo.
 
Napata Shida Sana Kuona watu wanabishana na Wafuasi wa Chadema.

Huu ndio muda wao Wa kufurahii na Baada ya Tarehe 28 Ni Vilio vya kutosha maana hawataamini Kitachokeaa😂🤣😂🤣😂

Sasa Nyie Tulieni Walete update Hata za Malaika kuhudhuria Mikutuno ya Lissu , walete update za kujifariji na kujipa raha ndio Muda waoo Waacheni maana Wanaelekea ukingoni.

Dr Johne Magufuri Tunamwitaji sana na hatuwezi kumpoteza tutamtetea kwa gharama yoyote ile ili Abaki Madarakani Akaivushee nchii Ili watoto wetu waje kufaidikaaaa.

Na Mwisho NISEME. HATUWEZI KUKABIDHI NCHI KWA WAHUNI WASIOWEZA HATA KUJINGOZA KWA DEMOCRASIA NDANI YA CHAMA CHAO

WACHENI CHADEMA WAFURAHI NDIO MUDA WAO.
 
PAMOJA NA UCHADEMA WETU HII HAIFAI KUPUUZA KWA SABABU IPO WAZI NA HATUJAWAHI KUPEWA MAJIBU ZAIDI YA KUAMBIWA CHAMA NI MALI YA MBOWE


*HAWA NDO CHADEMA WANAOTAKA KUCHUKUA NCHI*

[emoji117]Ni hivi, tangu wameingia madarakani, Chadema wamekuwa wakipokea ruzuku ya Shilingi Milioni 336,000,000/= kwa mwezi. Kwa mwaka (336,000,000/= x 12) = 4,032,000,000/=. Kwa miaka mikano (2015-2020) Chadema wamekusanya Jumla ya Shilingi *20,160,000,000/= (Bilioni Ishirini na Milioni Mia Moja na Sitini).*

[emoji117]Chadema walikuwa na jumla ya wabunge 70, kati ya hawa 34 wa kuchaguliwa, na 36 wa Viti Maalum. Kila mbunge wa kuchaguliwa alikuwa anachangishwa Shilingi Milioni Moja 520,000/= kwa mwezi na kila mbunge wa Viti Maalum alikuwa anachangishwa Shilingi Laki Tano (1,500,000/=) kwa mwezi.

[emoji117]Hivyo, idadi ya michango ya wabunge wa kuchaguliwa kwa mwezi ilikuwa (520,000/= x 34) = 17,680,000/=; na idadi ya michango ya wabunge wa Viti Maalum kwa mwezi ilikuwa (1,500,000/= x 36) = 54,000,000/=. Kwa ujumla wake, Chadema walikuwa wanakusanya kiasi cha shilingi 71,680,000/= kwa mwezi kutokana na michango ya wabunge. Kwa mwaka (71,680,000/= x 12 = 860,160,000/=. Kwa miaka mitano (2015-2020) Chadema wamekusanya Jumla ya *Shilingi 4,300,800,000/= (Bilioni Nne Mia Tatu Milioni na Laki Nane)*

Twende sawa hapa

Ruzuku 20,160,000,000/=
Michango ya wabunge 4, 300,800,000/=

Jumla 24,460,800,000/= *(Bilioni Ishirini na Nne Milioni Mia Nne na Sitini na Laki Nane)*

[emoji117]Licha yah hii;
· Chadema wanakusanya fedha kutoka kwenye ada za wanachama kila mwaka,
· Chadema wamefanya harambee ya nchi nzima mara kadhaa, nakumbuka ipo iliyofanyika Dar es Salaam (Serena hotel) na Arusha (hotel ya Mrema nimeisahau jina), na Mwanza kwa kuwataka Watanzania kuwachangia electronically. Hata mara moja hawajawahi kutoa ‘feedback’ kwa Watanzania hawa waliochanga. Kama wanabisha na ni wawazi kama wanavyojinasibu, watoe taarifa kwa kila tukio.

[emoji117]Hapo hatujaweka michango ya wanachama nchi nzima kila mwaka, Hivyo haya ni sehemu ya makusanyo yao ya miaka 5 tu kama Chama ambacho kimekuwa Chama kikuu cha upinzani nchini kwa miaka takribani 20, bado hii leo:

[emoji117]i. Hakina ofisi yao kama jengo, pamoja na kununua eneo miaka ya nyuma ili kuweka jengo la ghorofa 11kwa minajili ya kujenga ofisi yenye hadhi ya chama kikuu cha upinzani na kupangisha maeneo mengine. Ni kama Milioni 150 zilizotumika kununua eleo zilitupwa tu. Ofisi hii ya Chama inayotumika leo ilinunuliwa na Bob Makani. Kina Mbowe na Lissu wanaojinasibu kuwaletea Maendeleo Watanzania hawajawahi kufanya lolote pamoja na kujikusanyia mabilioni ya pesa kila mwaka.
[emoji117]ii. Makatibu wake wa wilaya wengi (kama sio wote) nchi nzima hawalipwi mishahara wala posho,
[emoji117]iii. Leo hii kampeni zinaendelea Chama hakina pesa za kuendesha kampeni, badala yake wanapitisha kofia kuwachangisha wananchi katika mikutano ya kampeni.

[emoji117]Hii pesa yote iko wapi? Kama imewekezwa, imewekezwa wapi? Mbona wabunge wao wanalalamika wakihoji haya wanaambiwa hakuna kuhoji?

[emoji117]Haya matumizi mabaya yote ya pesa yanafanyika wakati Tundu Lissu (eti mpenda haki huyu, na mtetezi dhidi ya ukandamizaji, na mwanademokrasia) akiwa ‘amebandikwa’ nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Chama, na Makamu Mwenyekiti wa Chama. Wanachama wanalalamikia haya yote, mwanasheria anateyakiwa kuwatetea, Bwana Tundu Lissu ametulia tulii kama vile hakuna kilichotokea yaani! Eti leo anaimba uhuru, haki na maendeleo wakati Chadema yake hakuna Uhuru, Chadema yake hakuna Haki, Chadema yake hakuna Maendeleo!, nay eye ni Kiongozi mwandamizi wa Chadema.

[emoji117]Ni huyuhuyu Tundu Lissu na Chadema wake wanataka Watanzania wawape ridhaa ya kusimamia utajiri wote wa nchi, waratibu matumizi ya matrilioni ya kodi zote zinazokusanywa nchini, wasimamie miradi yote ili eti walete ustawi kwa Watanzania.

[emoji117]Ni huyu huyu Tundu Lissu na Mbowe ambao ni viongozi wakuu wa Chadema miaka nenda rudi bado wanapanga makao makuu ya chama taifa kwenye nyumba ya mtu (mtaa wa Ufipa-Kinondoni), ndo wanasema eti watawasomesha bure Watanzania, eti watawatibu bure Watanzania wote.


[emoji117]Sasa ona hii, Lissu anajiita eti ni mwanasheria anayesimamia katiba na sharia. Hivi hiyo nafasi ya Mwanasheria wa Chama aliyonayo ndani ya Chadema iko kikatiba? Atoke huko atuonyeshe kwenye katiba kama kuna nafasi ya mwanasheria wa Chama kikatiba. Huyu huyu ameshindwa kusimamia haki ndani ya Chama, ameshindwa kutetea uhuru wa wanaokandamizwa ndani ya chama kiasi cha anayehoji tu anafukuzwa uanachama, ameshindwa kusimamia na kuheshimu katiba ya chama; eti leo hii anataka kusimamia haya akiwa Rais wa Tanzania?

[emoji117]Wahenga walisema “sumu haijaribiwi kwa kuionja”, Chadema hii ya Lissu na Mbowe ni sumu kwa Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza? Chambua na CUF, NCCR, ACT, UDP n.k
 
Dugu wananchi wenzangu nawaombeni msifanye makosa Siku ya tarehe 28 kuchagua Tundub Lissu kapige kura ya Haki kuondoa uongozu zalimu wa Magufuli Uongozi wa mabavu na unyanyasaji na ukikukwaji mkubwa wa haki za binadamu tuukatae na tuweke historia Tanzania tuitoe Ccm madarakani mana hii nchi sio yao kabisa tumewachoka miaka 59 hauna chamaana kilichofanyika watu bado maji ni shida nchi hii.

Wanatumia Police TISS Na Tume ya Uchaguzi kuchafua uchaguzi huu tuseme basi na tukatae kwa pamoja ili waeshimu maamuzi ya wananchi kumbuka sisi wananchi ndo mabosi na ndo walipakodi na ndo tunaowapa dhamana sasa wasijifanye uongozi kama wamepewa milele tukatae dhuluma na ukandamizaji wao. People power ni kubwa
 
Back
Top Bottom