Hata mwaka hauko sawa wameandika mwaka 20 huu sio mwaka wa 20 Ni mwaka wa 2020 kisheria Ni makosa aliyeandika hi taarifa Hana akili Ni bwege
Kwan kisheria inaruhusiwa kuweka picha ya namna hiyo hapo chini kwenye fomu ya uteuzi wa Rais kana passport size?
 
Safi sana hiyo ni haki yao Kikatiba na nadhani watazitu. mia hizo siku vizuri kwani TANZANIANS LIVES MATTER (TLM). Viongozi wa CHADEMA wajaribu "kumfunga breki mdomo" Lissu ili asiseme hovyo hovyo na kuwarubuni wajinga wachache na kutuingiza kwenye janga la Tunduma.

Maisha na damu ya Watanzania wasiokuwa na hatia na ambao hawatafaidi marupurupu apatayo Lissu kutoka kwa akina Amsterdam na mabeberu waliomtuma Lissu kuja kutaka kuivuruga nchi yetu at this crucial point in the political history of our MOTHER TANZANIA.

We are not going to allow this (for the benefit of Amsterdam and his group). Let me stressing again that "TANZANIANS LIVES MATTER (TLM)".
 
Hata mwaka hauko sawa wameandika mwaka 20 huu sio mwaka wa 20 Ni mwaka wa 2020 kisheria Ni makosa aliyeandika hi taarifa Hana akili Ni bwege
Karibia wote tumeelewa isipokuwa wewe, ok huu wako 2020 ni baada ya yesu au kabla?
 
Tuacheni tukaswali ijumaa kwanza ,anzeni Saa 7:30 mchana au saa 8
Wakaazi wa Mbagala wengi waislamu.

Naomba wapangaji ratiba wazingatie hilo.

Tuko pamoja ,tusije tukaaminishwa na wabaya wa Upinzania kuwa Chadema Haijali Dini ya Waislau.
 
Tuacheni tukaswali ijumaa kwanza ,anzeni Saa 7:30 mchana au saa 8
Wakaazi wa Mbagala wengi waislamu.

Naomba wapangaji ratiba wazingatie hilo.

Tuko pamoja ,tusije tukaaminishwa na wabaya wa Upinzania kuwa Chadema Haijali Dini ya Waislau.
Shamra Shamra zitaanza mapema Ila viongozi kuhutubia mpaka baada ya Saa 8
 
Naahidi kuwepo mbagala zakhiem kesho asubuhi na mapema.
 
Well calculated move.👏👏
 
Ccm wakianzisha chokochoko za aina yoyote tutazijibu kwa nguvu ile ile iliyotumika kuzianzisha.
Wakimuua Akwilina mmoja wa chadema, na wao wajiandae kumpoteza Akwilina wao mmoja.
Na ndio maana nikawaambia wote wakiwemo hao CCM kwamba tufanyeni kampeni za kistaarabu.

Thank me later
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…