MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 817
- 593
Leo nakuona una tumbo la kuchafua choo.Sasa uzinduzi wa kanda aliufanyia mwanza mjini hapo hapo lilipo jimbo LA Nyamagana na Leo anarudi exactly hapo hapo hiyo kiboko ha ha ha
Hehehe...huyo ndiye Lissu.
Si mtu wa kawaida. Hata CCM wengi wenye utu watampigia kura.